mayonise
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 259
- 50
Habari wana JF MMU.
Nina girlfriend wangu takribani mwaka na miezi kadhaa niko naye.
Tatizo kubwa alilo nalo ni kiburi ambacho tangu niyajue mapenzi sijawahi kuona,hanisikilizi kwa chochote kile.
Kwa muda wote huo nimemvumilia sana na kwa upole wangu na busara nilizotumia kumrekebisha nilidhani angebadilika lakini wapi.
Nilishamuonya sana swala hili na yeye kuwasiliana na X wake akasema ataacha but still naona anaendelea ingawa siyo mawasiliano mabaya lakini ninahisi watazoeana tena na kuanza kukumbushia waliyokuwa wanafanya.
Hivi ni lazima uwe na mawasiliano na X wako?
Nahisi moyo wangu umeanza kukata tamaa juu yake.
Nina girlfriend wangu takribani mwaka na miezi kadhaa niko naye.
Tatizo kubwa alilo nalo ni kiburi ambacho tangu niyajue mapenzi sijawahi kuona,hanisikilizi kwa chochote kile.
Kwa muda wote huo nimemvumilia sana na kwa upole wangu na busara nilizotumia kumrekebisha nilidhani angebadilika lakini wapi.
Nilishamuonya sana swala hili na yeye kuwasiliana na X wake akasema ataacha but still naona anaendelea ingawa siyo mawasiliano mabaya lakini ninahisi watazoeana tena na kuanza kukumbushia waliyokuwa wanafanya.
Hivi ni lazima uwe na mawasiliano na X wako?
Nahisi moyo wangu umeanza kukata tamaa juu yake.