Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,549
Mkuu acha hizo umemchafua mtoto wa watu alafu Leo unajifanya mwili umechange daaa Kuna wengine hukumu zenu itakuwa ni kuchomwa na mkaa wa mpingo dadek
AsanteMchane kwamba hupendi alivyofutuka na inaweza kuwa sababu ya wewe kusitisha penzi.
Yaani wee kunguru baada ya kumtumia mtoto wa watu takribani mwaka mmoja na nusu eti leo hii unataka kumuacha kisa yee ameanza kuwa bongeHeshima kwenu washikadau
Nina mpenzi wangu ambae tupo kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huyu binti wakati naanza nae mahusiano alikua na mwili ambao ni standard lakini kwa siku za hivi karibuni amekua tukunyema sababu ya kupenda kufakamia misosi.
Yani huwa haipiti siku bila kunitumia picha za misosi anayokula pindi tunapowasiliana kupitia WhatsApp tena kibaya zaidi ni vile vyakula kunenepesha mwili.
Nimejaribu kumshauri kwamba awe anakula na vyakula vya aina flani ili mwili usifutuke kiasi cha kupoteza mvuto lakini wapi, huwa anasikiliza lakini baada ya siku mbili anarudia yaleyale.
Imefikia hatua mpaka nataka kumuacha mana naona kama anapoelekea itafikia hatua nitashindwa hata kuongozana nae.
Kuna yeyote humu amewahi kutana na changamoto kama hii na je aliitatua vipi katika kunusuru mahusiano?
View attachment 1802845
Hao walikua ni michepuko mkuu wasikuumize kichwa...Yaani uliwaacha sababu ya kufutuka tu? Mbona mnatutesa wanaume nyie😒 yaani mnataka tusile tushindie biscuits tu ili tuwe vimbaumbau?
Mwambie avae dela na ile chupi ya g-string utampenda tu
Umempa point. Hapa ataanza kutaman wanene tenaMwambie avae dela na ile chupi ya g-string utampenda tu
Heshima kwenu washikadau
Nina mpenzi wangu ambae tupo kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huyu binti wakati naanza nae mahusiano alikua na mwili ambao ni standard lakini kwa siku za hivi karibuni amekua tukunyema sababu ya kupenda kufakamia misosi.
Yani huwa haipiti siku bila kunitumia picha za misosi anayokula pindi tunapowasiliana kupitia WhatsApp tena kibaya zaidi ni vile vyakula kunenepesha mwili.
Nimejaribu kumshauri kwamba awe anakula na vyakula vya aina flani ili mwili usifutuke kiasi cha kupoteza mvuto lakini wapi, huwa anasikiliza lakini baada ya siku mbili anarudia yaleyale.
Imefikia hatua mpaka nataka kumuacha mana naona kama anapoelekea itafikia hatua nitashindwa hata kuongozana nae.
Kuna yeyote humu amewahi kutana na changamoto kama hii na je aliitatua vipi katika kunusuru mahusiano?
Internet never die,Njoo usome hii post yako after two years utapata majibu kupitia wewe mwenyewe! Kwa ushauri pia,jitahidi ukue mentality