Lakini sisi tunaotaka tuoe tuna mitihani sana inafika time unakata tamaa kabisa.wanasema mapenzi pesa lakini sisi wengine pesa tumezipata lakini tunatafuta wake kwenye mapenzi ya kweli.kama ukiwa na hela mapenzi ya kweli hayapatikani hata hela yenyewe huna furaha nayo.
I miss u dada mdogo...Abee kaka
Tatizo lako unajionyesha kesi kua una hela kwa hiyo uanaishia kuwapata maopportunists tu.Nipo chaputa na hela zangu,wanawake hawaeleki,ukikosa wanakupa,ukipata hela hupati mwenye mapenzi ya kweli.ni shida
N
I miss u dada mdogo...