hapo pangusa vumbi endelea na msako wa kumsaka mkee...
pia epuka vibinti vidogo tafuta matured...
Hiki kiswahili ,sasa mtaungana vipi pamoja ? Au unataka kua Wingman wake ??Mkuu, hebu tuungane pamoja kutafuta wanaotufaa maana hata mimi nina hako kaugonjwa, kila nikimtongoza mwanamke nataka anipe siku hiyohiyo na ikizidi sana ni ndani ya siku mbili ama tatu.
kwaiyo mkuu una mshauli atafune to maana akuna namnaHiyo ndo dawa yao ww tafuna tuu lisha pumba mixer dagaa mpige sopsop week tatu kula nyama km kuku wakizungu akinona wakuoa atatokea tuu.
hahahaaa,, Mpange deMu deMu unaye dhani anakufaa,, yeMa niseheMu tu ya penzi kuBwa ni MakuBaliano na kuheshiMiana,,!Kwa kifupi nilikuwa na kidemu changu na kilikuwa mwaka wa mwisho kumaliza,tangu tuanze uhusiano ilikuwa kama miezi 8 amalize.Sasa kosa nililofanya ni kumsubiria amalize Shule ndiyo nimle,laaahaula kumbe kuna mwenzangu anamla mapema,kuja kustuka kademu kamemaliza baada ya wiki naenda kwao nijitambulishe naulizwa wewe ndiyo uliyempa mimba??nikauliza ya miezi mingapi??Naambiwa mitatu.Nikajibu mbona Mimi sijawahi kufanya naye tendo la ndoa maana nilikuwa namsubiria amalize Shule kisha nije nijitambulishe ndiyo mambo mengine yaendelee.Nikaulizwa kwa hiyo tukusaidieje,nikajibu naona labda Mimi nilikuwa mlezi na siyo mpenzi kwake.
Msaada ni kwamba kila nikitongoza msichana naomba gemu fasta,tatizo akikataa tu najua ndiyo wale wale navunja mahusiano,na umri wa kuoa umeshafika na nahisi nikiendelea na hii tabia sitaoa.Msaada hapo.
NNJOO TUKUUNGE CHAPUTA
we rubiiii...
uliliambiwa utafune ukakaidi utatafuniwa to maana akuna namnaKwa kifupi nilikuwa na kidemu changu na kilikuwa mwaka wa mwisho kumaliza,tangu tuanze uhusiano ilikuwa kama miezi 8 amalize.Sasa kosa nililofanya ni kumsubiria amalize Shule ndiyo nimle,laaahaula kumbe kuna mwenzangu anamla mapema,kuja kustuka kademu kamemaliza baada ya wiki naenda kwao nijitambulishe naulizwa wewe ndiyo uliyempa mimba??nikauliza ya miezi mingapi??Naambiwa mitatu.Nikajibu mbona Mimi sijawahi kufanya naye tendo la ndoa maana nilikuwa namsubiria amalize Shule kisha nije nijitambulishe ndiyo mambo mengine yaendelee.Nikaulizwa kwa hiyo tukusaidieje,nikajibu naona labda Mimi nilikuwa mlezi na siyo mpenzi kwake.
Msaada ni kwamba kila nikitongoza msichana naomba gemu fasta,tatizo akikataa tu najua ndiyo wale wale navunja mahusiano,na umri wa kuoa umeshafika na nahisi nikiendelea na hii tabia sitaoa.Msaada hapo.
Hahahaa.... Usinyambulishe sana Mkuu.Hiki kiswahili ,sasa mtaungana vipi pamoja ? Au unataka kua Wingman wake ??
Hahahaa.... Usinyambulishe sana Mkuu.Hiki kiswahili ,sasa mtaungana vipi pamoja ? Au unataka kua Wingman wake ??
Ambayo wewe ni mwenyekiti wake bila shaka ni CHAPUTApiga mambo yetu yaleeeeeeeeee
Haahahhaaaa afadhali bana....Hakuna msaada wowote hapa! Oga sali ulale
Mvua zimeanza...msimu wa kupanda tayariCha kufanya.....jishughulishe na kilimo......msimu wa kupanda unakaribia......chagua mbegu zilizo bora......
Asisahau kuongezea ndimu na pilipilina wewe mle kwa chumvi