Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,751
Sasa ubonge na kunywa sumu Kuna uhusiano gani...jamaniHuyo demu ni kibonge??
NB:I don't mean to offend anybody
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ubonge na kunywa sumu Kuna uhusiano gani...jamaniHuyo demu ni kibonge??
NB:I don't mean to offend anybody
Yaaani wanaume baana yaani mnapenda kunalalisha kuchepuka...Ningesema Mimi nachepuka matusi yake nisingelala...Habari Wapwa!
Nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano zaidi ya miaka miwili sasa, tunapendana na tulikuwa na mipango ya kuoana hivi karibuni.
Tatizo kubwa alilonalo huyu binti ni hasira za karibu hasa ikitokea akajua nimechepuka. June 2019 aligundua nina mahusiano na binti mwingine, akaniuliza nikakataa baada ya kuweka mitego akaninasa. Ilikuwa purushani hadi akafikia hatua ya kununua dawa na kujaribu kunywa, bahati nzuri niliwahi kumnyang'anya. Hii ikapita!
Juzi tena ameninasa nachepuka, akarudia yaleyale ya mwaka jana. Hapa alikunywa dawa kabisa akijaribu kujiua, bahati nzuri tulijitahidi kumuokoa na akapona.
Tokea hapo moyo wangu umeingiwa na ubaridi juu ya huyu binti, najaribu kuwaza; Je ana roho nyepesi kiasi hiki kweli anatahimili mikikimikiki ya ndoa? Kama trails ameshindwa je movie ataweza kucheza. Je mara ya tatu si ndio atakufa kabisa.
Labda kuna mtu amewahi kukutana na mwanamke mwenye tabia kama hii, naomba ushauri wenu please.
Nimecheka mpaka majirani wamesikia...eti Fatima mcheka hovyomzee wa kugegeda tumepata jina jipya la papuchi..jina ni fatuma mcheka hovyo..unalipitisha??
Kwa mantiki ya kununa .nuna ovyoovyo ,kukasirika...atakua ni mwembamba.Huyo demu ni kibonge??
NB:I don't mean to offend anybody
Nikajua kajaribu kujichuaHabari Wapwa!
Nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano zaidi ya miaka miwili sasa, tunapendana na tulikuwa na mipango ya kuoana hivi karibuni.
Tatizo kubwa alilonalo huyu binti ni hasira za karibu hasa ikitokea akajua nimechepuka. June 2019 aligundua nina mahusiano na binti mwingine, akaniuliza nikakataa baada ya kuweka mitego akaninasa. Ilikuwa purushani hadi akafikia hatua ya kununua dawa na kujaribu kunywa, bahati nzuri niliwahi kumnyang'anya. Hii ikapita!
Juzi tena ameninasa nachepuka, akarudia yaleyale ya mwaka jana. Hapa alikunywa dawa kabisa akijaribu kujiua, bahati nzuri tulijitahidi kumuokoa na akapona.
Tokea hapo moyo wangu umeingiwa na ubaridi juu ya huyu binti, najaribu kuwaza; Je ana roho nyepesi kiasi hiki kweli anatahimili mikikimikiki ya ndoa? Kama trails ameshindwa je movie ataweza kucheza. Je mara ya tatu si ndio atakufa kabisa.
Labda kuna mtu amewahi kukutana na mwanamke mwenye tabia kama hii, naomba ushauri wenu please.
Usimtishie dogo kwani atamnywesha sumu kipindi akikutwa kafa usimtishie mtu nawe unamapepo kunywa sumu kisanani ?Kuwa makini usije pata kesi....na huchomoi mzee.
Jitahidi kuwa mwaminifu na mwamini...kama haumpendi mwandalie mazingira mazuri ya kumwambia asije jiua....kuliko kumtesa tesa.
Weka mbali visu...mkitofautiana funga mlango wa mbapolala na ficha fungua za sehemu yenye access ya vitu vitakavyosababisha ajiue.
Kwani ujana mtu anaridhikaga??Acha kumfanyia jambo baya .
Kwann uchepuke NA unaona kwake ni balaa
Jamaa yangu mimi mwenyewe nilikoswa koswa na kisu,nikaapa sichepuki tena.
Sent from my iPhone using JamiiForums