Cowman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 1,710
- 3,145
Habari Wapwa!
Nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano zaidi ya miaka miwili sasa, tunapendana na tulikuwa na mipango ya kuoana hivi karibuni.
Tatizo kubwa alilonalo huyu binti ni hasira za karibu hasa ikitokea akajua nimechepuka. June 2019 aligundua nina mahusiano na binti mwingine, akaniuliza nikakataa baada ya kuweka mitego akaninasa. Ilikuwa purushani hadi akafikia hatua ya kununua dawa na kujaribu kunywa, bahati nzuri niliwahi kumnyang'anya. Hii ikapita!
Juzi tena ameninasa nachepuka, akarudia yaleyale ya mwaka jana. Hapa alikunywa dawa kabisa akijaribu kujiua, bahati nzuri tulijitahidi kumuokoa na akapona.
Tokea hapo moyo wangu umeingiwa na ubaridi juu ya huyu binti, najaribu kuwaza; Je ana roho nyepesi kiasi hiki kweli anatahimili mikikimikiki ya ndoa? Kama trails ameshindwa je movie ataweza kucheza. Je mara ya tatu si ndio atakufa kabisa.
Labda kuna mtu amewahi kukutana na mwanamke mwenye tabia kama hii, naomba ushauri wenu please.
Nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano zaidi ya miaka miwili sasa, tunapendana na tulikuwa na mipango ya kuoana hivi karibuni.
Tatizo kubwa alilonalo huyu binti ni hasira za karibu hasa ikitokea akajua nimechepuka. June 2019 aligundua nina mahusiano na binti mwingine, akaniuliza nikakataa baada ya kuweka mitego akaninasa. Ilikuwa purushani hadi akafikia hatua ya kununua dawa na kujaribu kunywa, bahati nzuri niliwahi kumnyang'anya. Hii ikapita!
Juzi tena ameninasa nachepuka, akarudia yaleyale ya mwaka jana. Hapa alikunywa dawa kabisa akijaribu kujiua, bahati nzuri tulijitahidi kumuokoa na akapona.
Tokea hapo moyo wangu umeingiwa na ubaridi juu ya huyu binti, najaribu kuwaza; Je ana roho nyepesi kiasi hiki kweli anatahimili mikikimikiki ya ndoa? Kama trails ameshindwa je movie ataweza kucheza. Je mara ya tatu si ndio atakufa kabisa.
Labda kuna mtu amewahi kukutana na mwanamke mwenye tabia kama hii, naomba ushauri wenu please.