jem_the_great
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 289
- 159
Habarini wana MMU.
Jamani nina girlfriend wangu tunakama mwaka mmoja na miezi kadhaa, kiukwel nampenda ila tatizo linakuja mwanaume aliyekuwa nae(ex boyfriend wake) bado anamsumbua sana, yaani jamaa ni king'ang'anizi sijapata kuona.
Mara ya kwanza niliona kawaida ila imefika hatua hiki kitu kimeanza kuwa kero kwangu.
Jamaa anatuma message na kupiga simu mara kwa mara ingawa my girl ananiambia ameacha kupokea na kingine anapost picha za girlfriend wangu FB akidai kuwa ndo mke wake mtarajiwa.
Naombeni ushauri wenu nimfanyaje huyu mtu?
Jamani nina girlfriend wangu tunakama mwaka mmoja na miezi kadhaa, kiukwel nampenda ila tatizo linakuja mwanaume aliyekuwa nae(ex boyfriend wake) bado anamsumbua sana, yaani jamaa ni king'ang'anizi sijapata kuona.
Mara ya kwanza niliona kawaida ila imefika hatua hiki kitu kimeanza kuwa kero kwangu.
Jamaa anatuma message na kupiga simu mara kwa mara ingawa my girl ananiambia ameacha kupokea na kingine anapost picha za girlfriend wangu FB akidai kuwa ndo mke wake mtarajiwa.
Naombeni ushauri wenu nimfanyaje huyu mtu?