The End..
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 4,362
- 3,846
Hilo tumbo au pipa kwenye avatar yako
kachanganya na makalio hapo hapo tumboni ndo maana unamuona hivyo!!!
Hilo tumbo au pipa kwenye avatar yako
kachanganya na makalio hapo hapo tumboni ndo maana unamuona hivyo!!!
Siwezi badili line yangu kwa ajili ya mpumbavu mmoja.....never
Nawewe muweke facebook kuwa ndo mtarajiwa....uone kama huyo g.friend atakwambia uzitoe au la!
Acha ujinga,wewe na huyo demu wako mna matatizo makubwa,mblacklist kwenye sim ya huyo unaemuita mpenzi wako. Kwanza mpigie kupitia no ya huyo mpenzi wako umuonye kisha mtupie kwenye black list.
siku moja usiku wa manane mpigie huyo jamaa kwa kutumia simu ya demu wako mwambie kuwa unakula mzigo muda huo aache kusumbua sumbua!!!! na mwanamke awe anatoa sauti flani hivi najua unazijua hizo sauti kama akikufatilia tena sijui....!!!!!!
:ranger:
Hata hii yako inanitishiaaa
ID yangu je?
Hata hii yako inanitishiaaa
unataka kuniona nilivyo!!! unajua wanasema mimi handsome ndo maana nikapiga picha usiku saa nane ili nisichanganye mademu MMU tena sijawasha taa napicha sijatoa flash.....!!!!
Siwezi badili line yangu kwa ajili ya mpumbavu mmoja.....never