Mpenzi wa lecturer amenipenda sana ghafla

Mpenzi wa lecturer amenipenda sana ghafla

MZEE MSASAMBEGU

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,780
Reaction score
2,556
Huyu msichana inasadikika anatoka na lecturer wa hapa chuo,amekuwa akionesha kunipenda.

So najiuliza kuna ubaya wowote nitakuwa nimefanya kutoka nae sababu na mimi nampenda sana.
 
Dogo kamua huyo mtoto afu kimbia. Don't fight battles in a war you cannot win kid. Besides, vitoto vya chuo sio vya kuviamini. utakosa vyote bure mdogo wangu. Soma.
 
demu wa lecturer hawezi kukupenda mana hata huyo lecturer hampendi. tamaa tu kwako anataka umpigishe discussion kwa lecturer anataka marks na vihela. she is a noman`s girl.
 
Acha kuendekeza mapenzi, soma kwanza hayo mapenzi utayakuta tu miaka michache ijayo
 
TUKO WANGAPI? Some have no CLASS or HONOR in Sex. Wanajiokotea tu bora liende. Ticha anachovya humo, na yeye anachovyea juu. Puuuu!
 
Usipodisco jiandae kupata GPA inayocheza kiduku......hahahaaaa kitu cha 2.0 yani kimesimamia kucha.
 
Huyo demu ni wa mtu, hata asingekuwa wa lecturer, kwa nini utembee nae, kwanza akitoka kwako ataenda kwa mwingine. Shauri yako, usipo-disco utarudi nyumbani na pampus.
 
Unatafuta kufelishwa wewe soma achana naye huyo utajutia
 
Piga tu ila usisahau kutumia
C.o..nd...o....m
 
najiweza class

kuharibu mahusiano ya lecturer na mpenzi wake kunakupeleka shimoni aiseee. Kuwa na akili sana hakukupi nafasi ya kufaulu kwani lecturer anaweza fanya kitu chochote katika ufaulu wako. AISEE NAONA SUP KADHAA MBELE YAKO KAMA SIYO DISCO KABISA
 
soma acha uhuni

lecture ale...wajamaa wa mtaa wale bado boyfriend wake na wewe tena????MKO WANGAPI
 
Back
Top Bottom