- Thread starter
- #81
riwaya nyingine znachosha
Subiriiiii.....diwani
riwaya nyingine znachosha
ukitunga uongo jitahidi kuuufupisha
Mmmmmh, Devil is a liar, is it you???
Hilo ni jaribu usikubali kabisa kaka yako akirudi na akajua umelala na mwanamke wake yani mtakuwa maadui hutaamini
kwani hilo ndo linazuia kuwaambia huyo ni wifi yao kwa kaka yako mkubwa, kwani kuja kwake home kaka akiwa hayupo ndo inafanya awe mtu wako.sema na wewe unataka kama huyataki yoye haya ungewaambia toka awali hii mali ya kaka mkubwaTupo wa tatu kwetu bro ndo wakwanza wapili mm watatu dg yupo form one...nw nyumbani tupo watatu mm...mama..na sster wa kazi......kumbuka tangu waanze mahusiano na kk hata miez 5 haija fika
kwa hii story ilivyo ndefu na huu uongo aibu naona mimi
Wasiliana na Shigongo tafadhali
Unatuadithia ndotn uliyoota usiku au?!!
We demu ungekuwa dume wangekukoma uzao wa Eva!!! Duh maana comment zako kboko!!!unalelea lea ya nini kama humtaki wewe? bwana mega kisele mteme ila uhuni huo... demu anahitaji kukanyagwa hujui tu
unalelea lea ya nini kama humtaki wewe? bwana mega kisele mteme ila uhuni huo... demu anahitaji kukanyagwa hujui tu
thatha kwa nn ackaribie hapo anaingia chumbani?Nimeelezea kidg tu hapo wanasema najisifu sa nikianza kukwambia nyumba ilivyo je? Kifupi inayo