me nimekuelewa xana kaka na ni kwel unahitaj ushaul xema hapa jf kuna wa2 na via2 habar uxinge ilefusha me nisinge elewa hapa nimepata picha kwa hyo me naona mchane live tu hyo dem alaf ucngefuta yale mauchafu aliokua anaku2mia umwonyeshe brther ila c mbaya tabia ni kama ngoz ataludia madem wa hvo ambao hawa ji behave me nawachukia kama ukoma huyo xo dem man kimbia
nyumba yenu haina sitting room nn? hadi aingie chumbani kwako
kwani mlikunywa chai au juice ya Azam?
mmmmhhhh gazeti kuuuubwaaa hadi uvivu una narrate kama wahenga??
hata mimi nimejiuliza kaka yu wapi, kwa nini ajawa mkweli kwa dada zake kwamba ni wifi yao kwa kaka yao. anazingua huyu kanjanja tu
Da komedi hazitoisha humu. Km ni wa kaka yako how come hujawahi kuwaambia kwenu? Hii inaonesha unamtamani sema unamuonea aibu.
acha mazoea nae lasivo soon utamvua chup nakwambia ..
me nimekuelewa xana kaka na ni kwel unahitaj ushaul xema hapa jf kuna wa2 na via2 habar uxinge ilefusha me nisinge elewa hapa nimepata picha kwa hyo me naona mchane live tu hyo dem alaf ucngefuta yale mauchafu aliokua anaku2mia umwonyeshe brther ila c mbaya tabia ni kama ngoz ataludia madem wa hvo ambao hawa ji behave me nawachukia kama ukoma huyo xo dem man kimbia
Mm siwezi msemea mtu na sio komedi huo ndo ukweli....kk mwenyewe hata miezi 5 haijafka ni miez 2 tu tangu waanze...baada ya kuanza relationship na kk alikaa kidg akaondoka kumbuka huku sio kwao amekuja kurud wiki moja baadaye kk anaondoka ndo hadi leo
Kijana unaniangusha, beba mzigo uwo cha kaka ndiyo chako, unapoteza muda kula vitu wew
Chunga duka lako/lenu litaisha kijana kwa style ya mdogomdogo.
unalelea lea ya nini
kama humtaki wewe? bwana mega kisele mteme ila uhuni huo... demu
anahitaji kukanyagwa hujui tu
Mbona hujatuambia kama nyumba yenu ina geti jeusi,na c mna gari kwenu au?