Mpenzi wa hivi tunamfanyaje

Mpenzi wa hivi tunamfanyaje

Sista

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
3,208
Reaction score
1,038
Ushauri tuliopewa kinadada kutoka blog moja maarufu.

"Enyi wanawake tambueni.Kwa mila na desturi zetu za kiafrika nasema hivyo kwasababu ndo nizijuazo zingine sijui.Mwanaume anayekuomba hela wewe kila wakati angali naye ana kazi tena wakati mwingin nzuri zaid yako.Kimbia adi unyayo ufikie goti.

Hakuna mapenzi ndugu apo Huyo ni marioo na he is after money.

Na ndo mana anataka kumuoa mwenye pesa zaid Ondoka mamaa kabla hajakuingiza hasara zaidi.

Hebu kwa pamoja tushirikiane tutokomeze midume inayotamani kuwa treated like women.Imejaa tele mitaan hawana mapenzi wenyewe ni pesa."

MIMI BINAFSI MWANAMME MPYA AKINIOMBA KIPESA CHANGU AU AKATEGEA KULIPIA BILI FULANI SIO SIRI NAMWACHA KISAILENSA!!! N.B huyu ni mpenzi tu na sio mume wa ndoa!!! kiruuuuu

cc: Heaven on Earth tinna cute shikamoo Nyani Ngabu amu Bulldog Excel halafu OLESAIDIMU unapenda mteremko wewee
 
Maisha haya msaidiane wakuu.Kama anajidekeza tumia akili yako,si mmependana?Usikimbie,utaanguka uumie mkuu!
 
Ile ya kusaidiana anapokwama sawa.. ila sio kukuomba kila siku
Hi mrembo,mambo vipi,ni mara yangu ya kwanza kukuona humu na nimevutiwa,nimejikuta navutiwa na wewe,una thamani ya juu kwangu,naomba nipe S.L.P yako.
mi naishi kunduchi.
 
Ile ya kusaidiana anapokwama sawa.. ila sio kukuomba kila siku

umeona eeh dear. kuna jamaa niliwahi kudate nae kila ukikutana naye ni malalamiko mama yake anaproject hii anahitaji ampe pesa, mara mtoto wa kaka ananidai ada mara sijui niini alimradi nisipate chance ya kumwomba msaada kama mpenzi wangu. too much kulalamika
 
Hi mrembo,mambo vipi,ni mara yangu ya kwanza kukuona humu na nimevutiwa,nimejikuta navutiwa na wewe,una thamani ya juu kwangu,naomba nipe S.L.P yako.
mi naishi kunduchi.

Haaaaaaaaa umenichekesha sana....., umejuaje kama nina thamani ya juu??
 
Hi mrembo,mambo vipi,ni mara yangu ya kwanza kukuona humu na nimevutiwa,nimejikuta navutiwa na wewe,una thamani ya juu kwangu,naomba nipe S.L.P yako.
mi naishi kunduchi.

Viol umetisha sijui lengo lako ni nini mpaka s.l.p lol
 
Last edited by a moderator:
Kuomba ilhali niko mzima kiakili na kimwili kwangu mwiko.

Been on my own since I was 18 and I've never asked even my parents for money.

Sasa sielewi dume zima unaanzaje kumwomba mtu mwingine hela.
 
Kama wanawake wanaomba msaada, kwanini wanaume wasiombe!!!! Ombeni tu.... nanyi mtapewa....
 
umenena kweli tena usiombe wewe ukawa mfanya biashara afu yeye mfanyakazi kila siku atakuwa anasingizia baby mshahara bado naomba nisaidie ela ya kula wanaume wengine hawana ata aibu.
 
Nameless wewe! ukikua utayaona tehtehteh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom