Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Ukimsaidia atarudisha au ndo unamwachia?
Umemsaidia hujamkopesha kwahiyo No kurudisha
Ukimsaidia atarudisha au ndo unamwachia?
kwani fax huwa inakwaje?
still zinapokelewa kwa namba za sanduku la postaFacsimile siyo snail mail.
still zinapokelewa kwa namba za sanduku la posta
kwani fax inapokelewaje?Fax za wapi zinapokelewa kwa namba za sanduku la posta?
Sista.Unawarudisha wenzako kwenye mfumo dume wanaupinga kila siku!!! Huoni hata katiba mpya imeweka 50 kwa 50. Chukulia wewe (ke) umebahatika kuwa mbunge ukiingia mjengoni kwa siku una Tsh330000 mwenzi wako (me) ni mshika chaki shule za kata kwa mwezi anapata Tsh 450,000/= je akiomba pesa utammwaga?? Au utaacha kumtunza ili aendane na hadhi yako? Usipomtunza utamwona si hadhi yako matokeo ya utalala na kina mh kapteni komba na mh wasira ambao ni waheshimiwa wenzako.
kwani fax inapokelewaje?
OLESAIDIMU huyu huyu?
sikujua hivo ila nilikuwa nadhani may be wanawahisha kwenye p.0.box ya mtu.Kwa namba kama ya simu au efax (online fax).
sikujua hivo ila nilikuwa nadhani may be wanawahisha kwenye p.0.box ya mtu.
kwahiyo kibongo watu wakitumia barua kwa fax wanapataje kwa mda mwafaka?
kwani fax inapokelewaje?
Kwa namba kama ya simu au efax (online fax).
kawaida bhana kuna mida nilikuwa home sikujua hata m-pesa ,tigo-pesa,au airtel money,Sikuwa na sababu za kunichekesha ila umezileta.