Mpenzi wa hivi tunamfanyaje

Mpenzi wa hivi tunamfanyaje

Ushauri tuliopewa kinadada kutoka blog moja maarufu:-

"Enyi wanawake tambueni.Kwa mila na desturi zetu za kiafrika nasema hivyo kwasababu ndo nizijuazo zingine sijui.Mwanaume anayekuomba hela wewe kila wakati angali naye ana kazi tena wakati mwingin nzuri zaid yako.Kimbia adi unyayo ufikie goti.Hakuna mapenzi ndugu apo Huyo ni marioo na he is after money.Na ndo mana anataka kumuoa mwenye pesa zaid Ondoka mamaa kabla hajakuingiza hasara zaidi.Hebu kwa pamoja tushirikiane tutokomeze
midume inayotamani kuwa treated like women.Imejaa tele mitaan hawana mapenz wenyewe ni pesa."

MIMI BINAFSI MWANAMME MPYA AKINIOMBA KIPESA CHANGU AU AKATEGEA KULIPIA BILI FULANI SIO SIRI NAMWACHA KISAILENSA!!! N.B huyu ni mpenzi tu na sio mume wa ndoa!!! kiruuuuu

cc: Heaven on Earth tinna cute shikamoo Nyani Ngabu amu Bulldog Excel halafu OLESAIDIMU unapenda mteremko wewee

Sista.Unawarudisha wenzako kwenye mfumo dume wanaupinga kila siku!!! Huoni hata katiba mpya imeweka 50 kwa 50. Chukulia wewe (ke) umebahatika kuwa mbunge ukiingia mjengoni kwa siku una Tsh330000 mwenzi wako (me) ni mshika chaki shule za kata kwa mwezi anapata Tsh 450,000/= je akiomba pesa utammwaga?? Au utaacha kumtunza ili aendane na hadhi yako? Usipomtunza utamwona si hadhi yako matokeo ya utalala na kina mh kapteni komba na mh wasira ambao ni waheshimiwa wenzako.
 
Last edited by a moderator:
Ushauri tuliopewa kinadada kutoka blog moja maarufu:-

"Enyi wanawake tambueni.Kwa mila na desturi zetu za kiafrika nasema hivyo kwasababu ndo nizijuazo zingine sijui.Mwanaume anayekuomba hela wewe kila wakati angali naye ana kazi tena wakati mwingin nzuri zaid yako.Kimbia adi unyayo ufikie goti.Hakuna mapenzi ndugu apo Huyo ni marioo na he is after money.Na ndo mana anataka kumuoa mwenye pesa zaid Ondoka mamaa kabla hajakuingiza hasara zaidi.Hebu kwa pamoja tushirikiane tutokomeze
midume inayotamani kuwa treated like women.Imejaa tele mitaan hawana mapenz wenyewe ni pesa."

MIMI BINAFSI MWANAMME MPYA AKINIOMBA KIPESA CHANGU AU AKATEGEA KULIPIA BILI FULANI SIO SIRI NAMWACHA KISAILENSA!!! N.B huyu ni mpenzi tu na sio mume wa ndoa!!! kiruuuuu

cc: Heaven on Earth tinna cute shikamoo Nyani Ngabu amu Bulldog Excel halafu OLESAIDIMU unapenda mteremko wewee
ohhh mario motema na ngai mwasu kitoko
 
Kuomba ilhali niko mzima kiakili na kimwili kwangu mwiko.

Been on my own since I was 18 and I've never asked even my parents for money.

Sasa sielewi dume zima unaanzaje kumwomba mtu mwingine hela.

Kweli haiingii akilini kwa mwanaume mwajibikaji.
 
Ushauri tuliopewa kinadada kutoka blog moja maarufu:-

"Enyi wanawake tambueni.Kwa mila na desturi zetu za kiafrika nasema hivyo kwasababu ndo nizijuazo zingine sijui.Mwanaume anayekuomba hela wewe kila wakati angali naye ana kazi tena wakati mwingin nzuri zaid yako.Kimbia adi unyayo ufikie goti.Hakuna mapenzi ndugu apo Huyo ni marioo na he is after money.Na ndo mana anataka kumuoa mwenye pesa zaid Ondoka mamaa kabla hajakuingiza hasara zaidi.Hebu kwa pamoja tushirikiane tutokomeze
midume inayotamani kuwa treated like women.Imejaa tele mitaan hawana mapenz wenyewe ni pesa."

MIMI BINAFSI MWANAMME MPYA AKINIOMBA KIPESA CHANGU AU AKATEGEA KULIPIA BILI FULANI SIO SIRI NAMWACHA KISAILENSA!!! N.B huyu ni mpenzi tu na sio mume wa ndoa!!! kiruuuuu

cc: Heaven on Earth tinna cute shikamoo Nyani Ngabu amu Bulldog Excel halafu OLESAIDIMU unapenda mteremko wewee

Hahaha yani hio blog inaniacha hoi...oot nomaaa
 
Last edited by a moderator:
umenena kweli tena usiombe wewe ukawa mfanya biashara afu yeye mfanyakazi kila siku atakuwa anasingizia baby mshahara bado naomba nisaidie ela ya kula wanaume wengine hawana ata aibu.

Ila anapataje guts za kuanza kuomba??itakuwa bidada amejishebedua tena hujajua hio story,huyo mwanaume anawachuna wadada watatu wote huyo mmoja kashtukia ndo kaja kuomba ushauri
 
umeona eeh dear. kuna jamaa niliwahi kudate nae kila ukikutana naye ni malalamiko mama yake anaproject hii anahitaji ampe pesa, mara mtoto wa kaka ananidai ada mara sijui niini alimradi nisipate chance ya kumwomba msaada kama mpenzi wangu. too much kulalamika

Haaa rafiki yangu ningekua sijui ID yake ya JF ningehisi ni wewe maana aliachana na huyo kijana alikua full kumuomba ela.. mara ya kwanza akawa anatoa si anajua zile za kusaidiana ye akiombwa mkavu.. ikabidi amuache kila mtu aende na njia yake
 
sikumbuki mara ya mwisho kutuma SLP
tutawasiliana vipi?halafu kesho natoka pande za mkuranga,kisemvule,nitapitia kunduchi kwa utafiti,nitakuwa na tikiti maji za kukuzawadia utafurahia zilivyo tamu ukitafuna lazima ulowe kifua.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom