Mpenzi kapotea...

Mpenzi kapotea...

Davion Delmonte Jr.

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
2,149
Reaction score
1,720
Ni miezi takribani 2 sasa sijaskia sauti ya mpenzi wangu huyu, mara ya mwisho nawasiliana nae nilihoji mwenendo wake lakini alinipa ahadi nyingi sana kiasi kwamba nikahis kichwa kipo hiv :A S 465::loco:.. ila usema kweli baada ya hapo sikuwahi kumpata tena kwenye simu, kila nikipiga namba zake simpati kabisa. Mbaya zaidi sehemu alikua anaishi mwanzo alishahama. Kwa kweli sina cha kusema nipo hiv :tape: na sasa naamini mpenzi kapotea na kapeperuka hiv :flypig:. Kwa hiyo waungwana hayo ndo niliyoanza nayo huu mwaka. Yaani kwa sasa siamini amini :A S 13: halafu ukizingatia ndo mpenzi wa kwanza huyo.......



"We may run, walk, stumble, drive, or fly, but let us never lose sight of the reason for the journey, or miss a chance to see a rainbow on the way"
 
Ndio hivyo........we kubali tu.......bahari ni kubwa.......kama umekosa pweza.......vua chaza.......
 
Ndio mwanzo huo, baadae utaona kawaida tu...utashangaa unajaza "haic" baada ya mda mfupi..
 
Kuna hicho ulimnyima sasa nazi imepata/twa mkunaji!
just open a room for newcomers!
 
Mtu mzimaa hapotei. Amesepa kimyaa baada yakuonaa humfikishii afuu ukizingatiaa na mfukoni mkavuu ndo kabisaa harudii leo
 
Such is life my friend.

Pole.
Kweli, hata mi nimeshachukulia kawaida ila kuna siku atanitafuta tu.. ntampa vidonge vyake...

Ndio hivyo........we kubali tu.......bahari ni kubwa.......kama umekosa pweza.......vua chaza.......
... chaza ntawapata wapi?

Ndio mwanzo huo, baadae utaona kawaida tu...utashangaa unajaza "haic" baada ya mda mfupi..
... embu ngoja nianze kujaribu kama haic itajaa kweli...

Kuna hicho ulimnyima sasa nazi imepata/twa mkunaji!
just open a room for newcomers!
Hahahaha! inawezekana mkuu ni kweli ulichosema, maana anatoke zile pande za mikoa ya kati wanaitwa wa barbaig.. labda ndo chanzo
 
Maneno haya nimeyakuta mahali yatakufaa.

"As you grow up, you will learn that even the one person that wasn't supposed to ever let you down probably will.
You will have your heart broken probably more than once and it's harder every time.
You will break hearts too, so remember how it felt when yours was broken."

Time is the best healer.
 
Mtu mzimaa hapotei. Amesepa kimyaa baada yakuonaa humfikishii afuu ukizingatiaa na mfukoni mkavuu ndo kabisaa harudii leo
Labda nilikua sina uzoefu, maana ndo mpenzi wa kwanza huyo.. huenda kuna makosa nlikua nafanya..

Chaza wamo mumo humo baharini mkuu...... Davion Delmonte Jr.......
Penginepo sasa ntaaza rasmi, ila itanichukua mda maana uzooefu sina.

Maneno haya nimeyakuta mahali yatakufaa.

"As you grow up, you will learn that even the one person that wasn't supposed to ever let you down probably will.
You will have your heart broken probably more than once and it's harder every time.
You will break hearts too, so remember how it felt when yours was broken."

Time is the best healer.
Well said mkuu.
 
They say love is just the game sometime u win sometime u loose and can heal the pain
 
duniaaaa......!!!

dunia mapito jama!

tuwaoombeeni waliotukimbia waende salama..!!!

maana hatujui na huko wataachwa lini... haya mapenzi hayaeleweki jamani!!
 
duniaaaa......!!!

dunia mapito jama!

tuwaoombeeni waliotukimbia waende salama..!!!

maana hatujui na huko wataachwa lini... haya mapenzi hayaeleweki jamani!!

Hayaeleweki kivipi.......???.....au wewe ndio hujui formula.......?....hakuna 🔠.......mwendo ni♻️........😜
 
Mapenz yanawatesa vijana. Mm sion sababu ya kuanza kuhuzunika. Ww Mshukuru Mungu kwa kila jambo huwez jua kwann kakupotea hapo ujue Mungu hakuwapa kibali cha kuwa pamoja...... Kaz msur katk maendeleo yako
 
Back
Top Bottom