mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,581
- 461
Jamani naombeni ushauri demu wangu alikuja jana Geto ,kimsingi mimi ni mkristo na Yeye ni mwislamu, Mimi natabia ya kununua kilo ya nguruwe na kuitengeneza mwenyewe nyumban kutokana sipendi itengenezwe magengeni au mtaani nje na nyumbani.
Sasa mimi huwa mafuta yanayobaki huwa nayatunza ktk chupa ili nikinunua nianzie pia kupika.
Jana alikuja nikatulia nae geto baadae nikamuacha home mimi nikaenda ofisini bt akahis njaaa akachukua mchele akapika na akapikia yale mafuta ya kitimoto akijua ni korie pengine na aka kaangia mboga.
Nilipofika wakati huo alikuwa ameshaondoka kwake ila mafuta yale ya kitimoto yakawa yote yametumika na chakula amekula. Sasa nishauri jamani nimwambie akatubu msikitini au nitulie maana tayari nimemlisha haramu.
Sasa mimi huwa mafuta yanayobaki huwa nayatunza ktk chupa ili nikinunua nianzie pia kupika.
Jana alikuja nikatulia nae geto baadae nikamuacha home mimi nikaenda ofisini bt akahis njaaa akachukua mchele akapika na akapikia yale mafuta ya kitimoto akijua ni korie pengine na aka kaangia mboga.
Nilipofika wakati huo alikuwa ameshaondoka kwake ila mafuta yale ya kitimoto yakawa yote yametumika na chakula amekula. Sasa nishauri jamani nimwambie akatubu msikitini au nitulie maana tayari nimemlisha haramu.