Mpenzi wangu wa muda mrefu aninishangaza!
Mimi nilisafiri kwa takribani mwaka mmoja lakini tulikua tunawasiliana kama kawaida
Baada ya kurudi tukawa pamoja kama kawaida lakini nilianza kuona dalili ambazo hapo awali sikuzihisi
Kila tunapotaka kufanya tendo la ndoa yeya hutaka ageuke kunipa mgongo na tunafanya kama kawaida,kadri siku zilivyopita siku moja nkamuuliza mbona siku hizi unapenda sana kwa style hii ya kugeuka tofauti na hapo awali? Alinijibu kwani wewe unaogopa kukosea njia? Nikijua ni utani nikajibu nikweli ikitokea nikakosea si itakua vibaya? Alicheka na kusema kweni hii njia unayopita sikuzote si yangu na hio utakayo kosea nayo si yangu unawasiwasi gani? Nlishangaa kidogo kwani alionge kwa maskhara,kesho yake tulipoanza aligeuka na kusema leo kosea njia tuone itakuaje wala uosiogope!!!! Kwakweli nilinywea hapohapo na sikuweza kurudi tena ktk hali ya kutenda! Ajabu tangu siku hio amekua hataki nikutane nae kimwili! Nipeni ushaulri,mbona awali hakua hivi kabla sijasafiri???
Mimi nilisafiri kwa takribani mwaka mmoja lakini tulikua tunawasiliana kama kawaida
Baada ya kurudi tukawa pamoja kama kawaida lakini nilianza kuona dalili ambazo hapo awali sikuzihisi
Kila tunapotaka kufanya tendo la ndoa yeya hutaka ageuke kunipa mgongo na tunafanya kama kawaida,kadri siku zilivyopita siku moja nkamuuliza mbona siku hizi unapenda sana kwa style hii ya kugeuka tofauti na hapo awali? Alinijibu kwani wewe unaogopa kukosea njia? Nikijua ni utani nikajibu nikweli ikitokea nikakosea si itakua vibaya? Alicheka na kusema kweni hii njia unayopita sikuzote si yangu na hio utakayo kosea nayo si yangu unawasiwasi gani? Nlishangaa kidogo kwani alionge kwa maskhara,kesho yake tulipoanza aligeuka na kusema leo kosea njia tuone itakuaje wala uosiogope!!!! Kwakweli nilinywea hapohapo na sikuweza kurudi tena ktk hali ya kutenda! Ajabu tangu siku hio amekua hataki nikutane nae kimwili! Nipeni ushaulri,mbona awali hakua hivi kabla sijasafiri???