gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
mmmh,maybe mimi mshamba jamani.kama ni mimi kuuliza jf ningeona vibaya.
bidada kisukari kuna siku hapa mito na cartura waliwah kuponda sana hoja ya mkaka mmoja aliileta hapa jf iko na maudhia kama haya. Binafsi naona vijana jamani tunatia aibu sana hivi nani asiyejua kwamba kufanya ngono kabla ni dhambi? pia siyo kitu kizuri? inamaana anataka sisi wana jf tukashiriki naye katika dhambi yake siyo? halafu raa apate yeye na kisha mimi nije nidaiwe damu yake siyo?
huu ni upumbavu sana wewe mkaka na tena usilete tena hapa upuuzi kama huu. siku akikupa utakuja tena hapa kutuomba uko naye kwa b/rum ila hujui umvueje nguo.
Last edited by a moderator: