Mpenzi anataka nibebe mimba ndio aende kwetu

Mpenzi anataka nibebe mimba ndio aende kwetu

Mkuu pole, mbona ukomi ??? Achana na matapeli watakugeuza kiwanda cha kufetulia watoto .lea mwanao.
 
Habari wana Jf. Mimi nina miaka 33 nina mtoto wa miaka miwili na nusu. Baba wa mtoto nilipozaa mtoto tuliendelea na mahusiano nilimsihi aende kwetu hakwenda nikaamua niachane nae kwa sababu niliona anadharau wazazi wangu kwa kutokwenda nyumbani. Mwaka huu katika mawasiliano na mpenzi wangu wa zamani tukaanza mahusiano ila anataka nibebe mimba ndio aende kwetu. Na nyumbani hawataki nibebe mimba kabla mtu hajaenda. Anasema nampa masharti wakati niliezaa nae sikumpa masharti ya kwenda kwetu kabla ya kunipa ujauzito. Naombeni Ushauri hapa kuna muoaji kweli au anataka alipize kisasi. Nahisi kuchanganyikiwa.
Hakuna kitu. ukishakua na mtoto inahiyaji kuwa makini sana, maaana utaweza kuzaa hata 10 na wanume toauti
 
Yaani ukibeba utakua hauna akili,sbb kiukweli atakuacha pia!
Km anakupenda aende tu kwenu no excuses
Habari wana Jf. Mimi nina miaka 33 nina mtoto wa miaka miwili na nusu. Baba wa mtoto nilipozaa mtoto tuliendelea na mahusiano nilimsihi aende kwetu hakwenda nikaamua niachane nae kwa sababu niliona anadharau wazazi wangu kwa kutokwenda nyumbani. Mwaka huu katika mawasiliano na mpenzi wangu wa zamani tukaanza mahusiano ila anataka nibebe mimba ndio aende kwetu. Na nyumbani hawataki nibebe mimba kabla mtu hajaenda. Anasema nampa masharti wakati niliezaa nae sikumpa masharti ya kwenda kwetu kabla ya kunipa ujauzito. Naombeni Ushauri hapa kuna muoaji kweli au anataka alipize kisasi. Nahisi kuchanganyikiwa.
 
Umenisikitisha sana dada, miaka 33 kuomba ushauri kwa kitu kama hiki kweli? Hebu kua kidogo bana
 
Mimi namuelewa, ameshajua huyo kaka ni mpuuzi ila anaogopa kumpoteza pia
Babe.....
Ebu nenda PM ukamshauri kwamba..... kuvaa Dela sio kazi, shughuli yake kulishikilia Dela....[emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
huo ni mtego wa tenga,ukibeba mimba atakuachia manyoya.hivi nyie wanawake huwa hamstuki tu?yaani unadanganywa lkn hamstuki(nyumbu).kama anakupenda mwambie aende nyumbani kwenu faster.
 
Babe.....
Ebu nenda PM ukamshauri kwamba..... kuvaa Dela sio kazi, shughuli yake kulishikilia Dela....[emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahahaa mtu wa Ushirombo wewe una maneno kama Mzaramo loh
 
Uyo hakuna kumpa papuchi kwanza mwambie akatoe na mahali kabisa hana adabu kabisa kwa iyo anafikir wewe ni cheap kiasi hicho kwakuwa umezaa mtoto zen ukaachana na mzaz mwenzio wa mwanzo
 
Kwani haujui ka mgumba akipata ujauzito, lazima mtaa mzima ujae mate....tehteehh [emoji12] [emoji12]
Sasa mtu mgumba anapataje ujauzito na wewe khaa akishashika ujauzito huyo sio mgumba labda sema aliyekuwa akidhaniwa ni mgumba akishika ujauzito
 
Sasa mtu mgumba anapataje ujauzito na wewe khaa akishashika ujauzito huyo sio mgumba labda sema aliyekuwa akidhaniwa ni mgumba akishika ujauzito
Ndomaanaake huyo huyo, sio fully kutujazia mijimate hapa mtaani basi tujuage tu kama nayeye tayari....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah...wabongo bana....mnazojua plans za jamaa au mnaandika tu....mnajua waliachana vipi? Msikariri [emoji41]
 
mkubalie tu hizo tunaita ni mbinu za kiufundi jamaa anataka kuoa matokeo yakiwa 1-1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom