Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,144
- 4,298
Si ajabu ndugu muandishi nae mke wake watu wanamliwaza.
Lakini ni maajabu jitu moja liwafariji wanawake kumi wenye kukosa furaha ya muda tu kwenye ndoa yao eti aweze kuwafariji wote hawa nao wamfurahie.
Ni miujiza pekee wanawake wasaliti kupangwa kwenye foleni ya uchepukaji.
Inasikitisha kusikia bingwa la kufariji midebwedo anashindwa kummiliki mke wake wa halali ndani ya nyumba yake.
Lakini ni maajabu jitu moja liwafariji wanawake kumi wenye kukosa furaha ya muda tu kwenye ndoa yao eti aweze kuwafariji wote hawa nao wamfurahie.
Ni miujiza pekee wanawake wasaliti kupangwa kwenye foleni ya uchepukaji.
Inasikitisha kusikia bingwa la kufariji midebwedo anashindwa kummiliki mke wake wa halali ndani ya nyumba yake.