Brig General Carlitos Way JF-Expert Member Apr 27, 2009 1,519 3,475 Oct 8, 2017 #41 Nasikia huyu jamaa alikua m choli wa ukweli.
ChamaDola JF-Expert Member Dec 23, 2016 3,432 2,804 Oct 8, 2017 #42 Nimeisoma yote na nimeipenda! Sijawahi Polepole kama Mwenezi wangu. Anakizeesha na kukipoza Chama kama Sura yake ilivyo. Anafaa kufundisha vyuoni au kuwa padri,amekaa kitakatifu takatifu.
Nimeisoma yote na nimeipenda! Sijawahi Polepole kama Mwenezi wangu. Anakizeesha na kukipoza Chama kama Sura yake ilivyo. Anafaa kufundisha vyuoni au kuwa padri,amekaa kitakatifu takatifu.
ChamaDola JF-Expert Member Dec 23, 2016 3,432 2,804 Oct 8, 2017 #43 @johnthebabtist we jidanganye tu,anakizeesha Chama!