Mpendazoe mshamba sana, nakumbuka miaka ya 2008 wakati bado mbunge niko dom nafanya kazi workshop fulani ya computer maintenance, jamaa alikua anakuja tumtengenezee comp yake, kwenye malipo anakupangia jinsi ya kukulipa, siku moja akapiga simu nikamrekebishie printer yake kwenye gesti anayokaa maeneo ya airport jirani na chako ni chako ile kufika nagonga mlango akajibu ingia kuzama ndani nakuta yuko kifua wazi amekaa kitandani na demu ambaye ni mama ntilie anatuuziaga msosi kijiweni yule demu akanifinyia kijicho nikaushe nijifanye kama simjui, nikapiga kazi yangu fasta nikamaliza ile naaga nitoke jamaa akanipa buku tatu eti ndo malipo kukomaa ananijibu Ww nenda bwana tutawasiliana nikasepa zangu jioni nikakutana na yule demu nikamkazia Ww ndo umefanya nisilipwe demu akanitia elfu kumi huku akimponda Mzee mwenyewe mshamba analingia kipara tu hana lolote, tokea siku hiyo akija ofisini najifanya bize nauza kazi!