Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
]Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mpendazoe, anatarajia kufanya uzinduzi wa kitabu chake alichokipa jina la 'TUTASHINDA'. Uzinduzi huoo unatarajia kufanyika Dodoma tarehe 12/06/2011 na Mgeni rasmi katika uzinduzi huo ni Mh. F. Mbowe Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni. Pamoja na mambo mengine yahusuyo harakati za mapambano ya kumkomboa mnyonge, kitabu pia kinaelezea mchakato mzima wa uanzishwaji wa kilichokuwa Chama Cha Jamii (CCJ).