Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 12,962
- 21,065
Mkasa wake upo hivi...
"Binti yake amemfumania nikifanya mapenzi na ex wake. Ni mara yake ya kwanza kuleta mwanaume nyumbani baada ya mume wake kuwa na safari za mara kwa mara mikoani. aibu inamsumbua sana . Ameniomba ushauri nami ninakushirikisha tuungane kumshauri".
Weka hapa ushauri wako nami nitaufikisha kwake.
"Binti yake amemfumania nikifanya mapenzi na ex wake. Ni mara yake ya kwanza kuleta mwanaume nyumbani baada ya mume wake kuwa na safari za mara kwa mara mikoani. aibu inamsumbua sana . Ameniomba ushauri nami ninakushirikisha tuungane kumshauri".
Weka hapa ushauri wako nami nitaufikisha kwake.