Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,525
- 22,018
- Thread starter
- #21
Huo ushauri huo 😂Huyo mazaa akome
Huo ushauri huo 😂Huyo mazaa akome
Hawa ndo wanaosheaga na watoto wao hawa, hajieshimu kabisaSi amfate? Inaonekana huyo mama ni goalkeeper
Isaya 57:21Mkasa wake upo hivi...
"Binti yake amemfumania nikifanya mapenzi na ex wake. Ni mara yake ya kwanza kuleta mwanaume nyumbani baada ya mume wake kuwa na safari za mara kwa mara mikoani. aibu inamsumbua sana . Ameniomba ushauri nami ninakushirikisha tuungane kumshauri".
Weka hapa ushauri wako nami nitaufikisha kwake.
Hapana ni mke wa mtu, ndio maana nikasema huyo mama alikosea.Basi huyo mama nae hajieshimu, alishindwa kwenda lodge na huyo ex wake khaaa!, me nlijua singo maza anaishi na binti yake
Nimeelewa mkuuMkuu hujasoma bandiko lote au hujaelewa? Ameolewa nanukuu zingatia bolded words.
"Binti yake amemfumania akifanya mapenzi na ex wake. Ni mara yake ya kwanza kuleta mwanaume nyumbani baada ya mume wake kuwa na safari za mara kwa mara mikoani"
Omba ushauri wa maana sio huo ujingaKwa hili utapata ushauri.mwingi tu
ILA USHAURI WA NINI SERIKALI IFANYE BEI YA NAFAKA ISHUKE HAKUNA WACHANGIAJI
Hapo ndoa itavunjika mkuuHuyo Binti amuambie Baba yake haraka kabisa iwezavyo.
Mama ni mpumbavu, Hana akili, unachepuka mpaka kwako ,nyumban???.
Mama huyo ni mjinga
Wewe unatakaje ,isivunjike ?.Hapo ndoa itavunjika mkuu
Nipe namba yake pm nimkutanishe na mwanasaikoji mbobezi wa hayo masuala.Mama ndiye kafumaniwa na bintie. Alikuwa akinyanduliwa na mjuba ambaye alikuwa mpenzi wa zamani wa huyo mama Ila waliachana baada ya kuolewa.
Mama anaona aibu kwa hilo tukio
Mambo mengine ni kuwekana tu sawa sio mpaka ifike hukoWewe unatakaje ,isivunjike ?.
Una uhakika hawezi kuleta vurugu baada ya mkewe kutubu?NB: natumai mumewe hatochanganyikiwa na kuchukua maamuzi kama yule Dr. wa Botswana....
Kama serikali imeshaurilwa mambo kibao ya msingi na wazi imeshindwa kuchukua na kuufanyia kazi ushauri.Kwa hili utapata ushauri.mwingi tu
ILA USHAURI WA NINI SERIKALI IFANYE BEI YA NAFAKA ISHUKE HAKUNA WACHANGIAJI
Subiri Dr 😂Nipe namba yake pm nimkutanishe na mwanasaikoji mbobezi wa hayo masuala.
Ushikwe na njaa kuliko uwe na nyege na upwekeHuyo mazaa akome
Huku Manzese loji mpk buku3
Ina maana hawakuwa na af3 mpk wakutanie nyumbani kwake?
Mbona hana adabu kwanza