Mpasuko mpya CCM

Tutasubiri miujiza na haitakuja aslani. Mwelekeo unaonyesha kizazi chetu kitaendelea kutaabika huku wachache wakiendelea kumega bila soni kilicho chetu. Na watoto wetu tutawarithisha umasikili huu ndani ya nchi yenye neema ya kila kitu.
Wakati mwingine mabadiliko sio lazima muendelee na mazungumzo kama upande mmoja unajiona bora zaidi na hautaki kuheshimu mawazo ya wengine. Hata matumizi ya nguvu yanaweza kuwa Justified ikiwapo hali hiyo, Huo sio uhaini bali ni kutetea maslahi ya walio wengi. Mbona mapinduzi ya Zanzibar 1964 yanaenziwa? Hata wale walio ong'olewa Zanzibar 1964 walichaguliwa kwa kura.

Chakaza,
Tabaka ambalo mafisadi/CCM linaendelea kuliweka ndio utafanya/limefanya watanzania wafikie boiling point yao.. I am a optimistic person but I am not sure if Tanzanians have any more guts left for more forgiveness to mafisadi/CCM.
 
Luteni, uyasemayo ni yakweli kabisa, ila jambo la kujiuliza na kutafakari je watanzania bado tu wajinga wa kukubali mambo ya kurithiana uongozi wa nchi ya kwetu wote? na je watanzania bado wajinga wa kukubali kupelekeshwa na wachache? Na kama sivyo je mafisadi watafanyaje kumake their exit strategies work?

FT watanzania ni kama tumelishwa limbwata hatuoni na tumeoza ninavyoona tatizo kubwa ni middle class, si low class wala high class ni wale viongozi kuanzia ngazi ya wilaya na mkoa maDC maRC wakurugenzi wa halimashauri wabunge madiwani hilo ndilo group la matatizo

hao wakiamua kitu wananchi wachini watafuata tu hata Viongozi wajuu watafuata tu hilo ndilo linaotuangusha, Rais anaweza kuwa na dhamira nzuri tu lakini kama watekelezaji wana malengo tofauti hawezi vile vile wananchi wanaweza kuwa wanataka change nani atawasupport DC ndiye anashughulikia kuhesabu kura unategemea nini

bunge ambalo ndilo wananchi wenyewe limejitenga mbali badala ya kuwatumikia linamtumikia mtu mmoja mfano mzuri tazama Zanzibar wakati wa uchaguzi ni nani anayewazuia wananchi wasijiandikishe si rais ni hawa hawa maDC wakiwatumia masheha na wao wanafanya hivyo wakti mwingine si kwa maslahi ya rais kwa maslahi yao ambayo hayana faida kwa taifa

kuhusu exit strategy za viongozi zipo za aina nyingi moja ni hiyo ya kurithishana kuna ya kujilimbikizia mali ndani na nje kuna ya kujenga ngome ndani ya serikali mtandao hata kama akitoka maslahi yake yalindwe kuna ya kulitumia bunge kubadili sheria zikulinde nk matokeo yake ni kuiuza nchi na mtu kabla hajafanikisha haya atapigana kufa na kupona abaki madarakani
 
This piece looks and reads like somebody from Jamii Forums wrote it. Plus we are talking about Bongo's press here. Which is more opinionated rather than covering the news.
 
FT watanzania ni kama tumelishwa limbwata hatuoni na tumeoza ninavyoona tatizo kubwa ni middle class, si low class wala high class ni wale viongozi kuanzia ngazi ya wilaya na mkoa maDC maRC wakurugenzi wa halimashauri wabunge madiwani hilo ndilo group la matatizo

hao wakiamua kitu wananchi wachini watafuata tu hata Viongozi wajuu watafuata tu hilo ndilo linaotuangusha, Rais anaweza kuwa na dhamira nzuri tu lakini kama watekelezaji wana malengo tofauti hawezi vile vile wananchi wanaweza kuwa wanataka change nani atawasupport DC ndiye anashughulikia kuhesabu kura unategemea nini

bunge ambalo ndilo wananchi wenyewe limejitenga mbali badala ya kuwatumikia linamtumikia mtu mmoja mfano mzuri tazama Zanzibar wakati wa uchaguzi ni nani anayewazuia wananchi wasijiandikishe si rais ni hawa hawa maDC wakiwatumia masheha na wao wanafanya hivyo wakti mwingine si kwa maslahi ya rais kwa maslahi yao ambayo hayana faida kwa taifa

kuhusu exit strategy za viongozi zipo za aina nyingi moja ni hiyo ya kurithishana kuna ya kujilimbikizia mali ndani na nje kuna ya kujenga ngome ndani ya serikali mtandao hata kama akitoka maslahi yake yalindwe kuna ya kulitumia bunge kubadili sheria zikulinde nk matokeo yake ni kuiuza nchi na mtu kabla hajafanikisha haya atapigana kufa na kupona abaki madarakani

Kiukweli Luteni na Future-Tanzania heshima mbele. Lakini nadhani turudi back kidogo kihistoria. Kimsingi siasa ya ujamaa na kujitegemea imechangia watanzania kulala usingizi wa fofo. Ndani ya ujamaa wetu tulikuwa hatuulizi wala kuquestion decision za viongozi wetu. Slogan za zidumu fikra za baba yetu wa taifa ziliingia ndani ya vichwa vyetu tukawa ni viziwi na vipofu. Tulipokuja kuwa na vyama vingi baadhi ya mafisadi wakachukua ule mfumo na kuubadilisha kuwa ni mfumo wa kuwalinda wao wenyewe.

Wakitumia vizuri usalama wa taifa, taifa likawa ni taifa la watu waoga wasioweza kuhoji uwezo wa mtu katika uongozi. Matokeo yake watu wamekuwa wanarithishana uongozi kuanzia urais hadi ukuu wa wilaya (DC). Ukiuliza unaambiwa nchi ina wenyewe (Wenyewe kina nani????) . Binafsidhana ya woga katika vichwa vya watanzania ni muhimu kwanza kuondoka na kuingia dhana ya uzalendo. Jambo hili litasaidia watanzania kuwa na open mind na hata CCM wakija siasa zao unaweza kutambua pumba zipi na mali ipi. Venginevyo tutakuwa wanafiki tunasema haya inapofika mbele ya wahusika unabakia kusema ah nchi ina wenyewe. Ni akina nani zaidi ya mimi na wewe!!!!!
 
Kiukweli Luteni na Future-Tanzania heshima mbele. Lakini nadhani turudi back kidogo kihistoria. Kimsingi siasa ya ujamaa na kujitegemea imechangia watanzania kulala usingizi wa fofo. Ndani ya ujamaa wetu tulikuwa hatuulizi wala kuquestion decision za viongozi wetu. Slogan za zidumu fikra za baba yetu wa taifa ziliingia ndani ya vichwa vyetu tukawa ni viziwi na vipofu. Tulipokuja kuwa na vyama vingi baadhi ya mafisadi wakachukua ule mfumo na kuubadilisha kuwa ni mfumo wa kuwalinda wao wenyewe.

Wakitumia vizuri usalama wa taifa, taifa likawa ni taifa la watu waoga wasioweza kuhoji uwezo wa mtu katika uongozi. Matokeo yake watu wamekuwa wanarithishana uongozi kuanzia urais hadi ukuu wa wilaya (DC). Ukiuliza unaambiwa nchi ina wenyewe (Wenyewe kina nani????) . Binafsidhana ya woga katika vichwa vya watanzania ni muhimu kwanza kuondoka na kuingia dhana ya uzalendo. Jambo hili litasaidia watanzania kuwa na open mind na hata CCM wakija siasa zao unaweza kutambua pumba zipi na mali ipi. Venginevyo tutakuwa wanafiki tunasema haya inapofika mbele ya wahusika unabakia kusema ah nchi ina wenyewe. Ni akina nani zaidi ya mimi na wewe!!!!!

Thanks again;

We can't solve problems by using the same kind of thinking we used when we created them.”---- Albert Einstein
 
The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) has rubbished media reports that a new faction has emerged within the party, widening the rift that a special task force led by retired president Ali Hassan Mwinyi (pictured) is trying to bridge.
Recent reports in a section of the media suggest that the purported faction wants 16 establishment personalities implicated in various scams purged from the party.
A group of individuals claiming to be staunch CCM members has posted a document on a website, pressing for the expulsion of those they brand corrupt CCM and government officials from the party.
However, the group that identifies itself as ‘True CCM Fighters' has not disclosed the identities of its members.
The same faction wants the Tanzania government to seek assistance from the governments of Man Jersey, United Arab Emirates, Costa Rica, and Switzerland for the recovery of billions of money stashed away by individuals implicated in various scams.
The faction claims that CCM ought to reassess itself and determine its destiny following moral decay and erosion of public ethics among its members and leaders.
It claims that a few individuals have opted to subordinate public interests to those of their families.
It goes further to say that as the ruling party, CCM must cleanse itself as it used to do in the past.
" We are not ready to leave the fate of our nation in the hands of a few greedy individuals," the group declares.
Withholding their names, individuals targeted by the faction include a former Chief of Defence Forces (CDF), a former prime minister, two former ministers who served in the third phase government, a businessman-cum-Member of Parliament and a former director of intelligence.
Also in the list include 11 Members of Parliament from Arusha, Mara, Kagera, Shinyanga, Kilimanjaro and Dar es Salaam regions. The faction accuses the individuals of robbing the public through shoddy deals they allegedly masterminded.
The shoddy deals, according to the faction, were linked to External Payment Arrears (EPA) account of the central bank, Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Mwanachi, Tangold and Meremeta companies, Commodity Import Support (CIS) project and the procurement of a presidential jet.
Others are acquisition of a military radar, arms, military helicopters and vehicles, tax exemptions, selling of open spaces and the implementation of the central bank's twin tower project.
CCM Vice Chairman (Mainland) Pius Msekwa who appeared to be irked by the matter vehemently reacted to the reports when contacted for comment by The Guardian on Sunday.
"Why are you troubling yourself to cross check such nonsense and a non-existing matter? If those individuals have not revealed their identities, then I would treat such reports as mere fabrications masterminded by individuals who do not wish CCM any good," he said.
According to Msekwa, such reports were fictitious stories fabricated with the intention of distracting the attention of CCM members from their core plans as the party prepares itself for the nomination process ahead of the October poll.
" First I have not seen the document in the internet nor have I read reports in the newspapers but what I think is that some people have just crafted the document for ill-motives best known to themselves," he said.
News about the surfacing of the faction comes at the time when the ruling Chama Cha Mapinduzi struggles to iron out some differences among its Members of Parliament that emerged in 2007 when the Parliament formed its Select Committee to investigate the circumstances under which Richmond Development Company Ltd acquired a multi billion deal to generate emergency power when the nation was hit by drought in 2006.
The Mwinyi-led committee, to a larger extent, has succeeded to harmonise the state of affairs in CCM after presenting its report in the NEC meeting held mid last month in Dodoma.
However, the meeting gave the committee more time to finalise the reconciliation process between some CCM heavyweights who still seem to hold grudges against one another.
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
Back
Top Bottom