Mpango wa kumng'oa Dr. Ndalichako

Status
Not open for further replies.

Akija Mwislamu mwenzao watafaulu kwa kuwa alama za ufailu zitashushwa kama alivyofanya Kawambwa asijue kwa kufanya hivyo anazalisha mazezeta ambao watashindwa kufanya lo lote mbele ya safari. Yangu macho.
 
Ndalichako, hafai kabisa huyu, amewahujumu Waislaam waziwazi, aliposhtukiwa akajidai eti kompyuta!

Kwani yeye ndiye anawashikia kalamu? Hii issue ingekuwa na mantiki kidogo kama yale makosa yaliyofanyika kwenye Islamic Knowledge yangefanyika kwenye somk jingine. Jivi mtu akipata A kwenye IK na kisha akapata D na F kwenye masomo mengine itamsaidia nini mbele ya safari?
 
kinauche
===>Mimi pia nashanga,labda linasaidia kwenda kusoma kozi kama Sharia Law kwenye vyuo vinavyotoa shahada hizo.
 
Last edited by a moderator:

Unafikiri Kuna kosa kiongozj, NI utaratibu wa kuendeleza Taifa la wajinga, wafaulu wasio Na sifa
 
Aliyeweka uzi huu ni mchochezi na mfitinishi. yani haibgilii akilini kwa baraza kuu kutaka kumng'oa ndalichako
 
Ifike sehemu tuwaheshimu watu wenye maono juu ya taifa letu,siasa watanzania hazitupeleki popote kizazi cha sasa tuwe macho,ninaamini hata Nyerere angetokea leo hasinge pata nafasi ya kuongoza nchi hii maana wale wote wenye dira bora ya nchi hii tuntwapiga mawe tukiwa juu ya mti ili wasituone watu lakini zambi ni zambi hata ukiifanya usiku.:shocked:
 
Ndiyo sababu katika harakati hizi kila siku kelele na malalamishi ya hovyo humlenga ndalichako yaani ubaguzi na chuki za kidini.......

Sijawasikia hawa ndugu zangu wakimlalamikia au kumkejeri kawambwa kumbe kunaajenda ya siri nyuma yake....
Hawawezi kumlaumu Kawambwa kwani ni wa -kwao.Hata ikitokea ndege au gari limepata ajali likasababisha madhara wanaanzia kuuliza rubani/dereva ni wa upande upi kama si wakwao huwa ni sababu toshA kusema ni dhuluma dhidi yao!
 
Wakiyajua haya watanzania wote tutapona,
 
Ndalichako, hafai kabisa huyu, amewahujumu Waislaam waziwazi, aliposhtukiwa akajidai eti kompyuta!

Hoping u r ok Maadam.Usiwe extremest kiasi hiki.Akiondolewa Dk Ndalichako hakutabadili hali kwani ni sawa na kupaka rangi ukuta ukidhania umeziba nyufa. Kikubwa ni kuzingatia yote ILIM DUNIA na ILIM AKHERA hebu jaribuni ilo kama hamtafanikiwa niite mchochezi.Who is Joyce Vs[(Kikwete,Bilali,Shein,Seif ,Kawaambwa),Rashid Othman,Saidi Mwema et al]
 
Mi nawashangaa watu wanaomshambulia huyu mama. Kazi necta sio kufaulisha watoto ni kupima uwezo wao wa maarifa waliyoyapata toka shuleni yaliyosimaiwa na wizara ya elimu. Kama ufundishaji ni mbovu, anayehusika ni wizara si Ndalichako.

well said!
 

Kama alivyo mtumishi yeyote wa umma kuna siku Ndalichako atahamishwa ama atastaafu! Jambo muhimu ni kuangalia utendaji wa NECTA ktk mustakabali mzima wa kuboresha elimu yetu ili tupate wahitimu wenye weledi na wanaokubalika hata vyuo vya nje ya nchi yetu!

Nakumbuka wizi wa kwanza kwanza wa mitihani ilikua ktkt ya miaka 80 wakati huo nikiwa nasoma shule ya sekondari ya Tambaza hapa Dar! Kwa wale mliokua shule nyakati hizo ntakua ni mashahidi wangu!

Wizi wa mitihani uliendelea ukichagizwa na wamiliki wa shule binafsi za sekondari kutaka wanafunzi wao wafaulu ili shule zao zipate soko zaidi na baadhi ya shule za sekondari za Seminari za Kiislamu,kwa wanaokumbuka shule ya Al haramain! pale Upanga,Dsm!

Walimu wa shule za umma walianza kugundua kwamba wanafunzi wengi toka baadhi ya shule walikua na ufaulu wa juu sana lakini wakiingia kidato cha Tano wanaonekana wako wachovu sana! Ukaanza uchuguzi na baadaye hii tabia kwa kiasi kikubwa ikakokomeshwa ktk kipindi cha uongozi wa Dr. Ndalichako. Kudhibitiwa kwa wizi wa mitihani kumemuacha Dr. Ndalichako na maadui wengi,kuanzia wanasiasa,wamiliki wa shule binafsi na jamaa zangu wanaosingizia mfumo Kristo!!
 

wangekua wamepata elimu nzuri wangeandika barua nzuri pia .... elimu dunia ni muhimu sana!
 

mbona unazungumzia mtendaji huyu tu awajibike kwa kosa la mtu mwingine wa chini? .... sijakusikia ukisema kina IGP mwema, Kova, othman wa TISS wawjibike kwa makosa ya wanaowaongoza

CHUKI na WIVU mbaya sana ndugu yangu!
 

hili ndio swali la muhimu .... mimi huwa nawashangaa sana wale wanaopata A au B za masomo ya dini halafu wamechemsha kwingine wanashindwa kupata credits za kuendelea na elimu ya juu ... credits for nothing

it is about time haya masomo ya dini yaondolewe shule za serikali na hata yakibaki yasitambuliwe kwenye assessment na upangaji wa madaraja/matokeo ya mtu .... yafahamike tu kama extra credits!
 
Unafikiri Kuna kosa kiongozj, NI utaratibu wa kuendeleza Taifa la wajinga, wafaulu wasio Na sifa

na hili ndio watanzania hawalioni

ukosefu wa elimu ni mtaji tosha wa mafisadi kuendelea kuongoza nchi na wizi wa rasilimali za taifa

watu hawajiulizi kwa nini hao mafisadi au viongozi watoto wao hawasomi hizi shule za wasiwasi hasa za serikali?
 
Huyu mama nahukumiwa kutokana na dini yake na si kitu kingine......Hizo barua ukiziangalia kwa makini utagundua walio ziandika hawana akili kabis a na niwatupu kichwani.....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…