Mpangilio wa Mikoa kwa ubora wa ufaulu

Mpangilio wa Mikoa kwa ubora wa ufaulu

Mbona mna argue like wimps,
Hata population (Idadi ya Watu), Arusha na Moshi ipo juu.
Kwaiyo kama iringa ina Wakazi Laki saba unataka idadi ya watahiniwa ufikie Arusha yenye Wakazi Milioni 3??
Umesema nini..? Kati ya Mikoa yenye population ndogo ni mikoa ya Kaskazini...

Kubali kuwa Kilimanjaro na Arusha Elimu inapewa Kipaumbele...

Kilimanjaro yenyewe ina Shule nyingi kuliko mkoa wowote Tanzania..Nyingi zikiwa zinamilikiwa na Mashirika ya Dini...
 
Umesema nini..? Kati ya Mikoa yenye population ndogo ni mikoa ya Kaskazini...

Kubali kuwa Kilimanjaro na Arusha Elimu inapewa Kipaumbele...

Kilimanjaro yenyewe ina Shule nyingi kuliko mkoa wowote Tanzania..Nyingi zikiwa zinamilikiwa na Mashirika ya Dini...
Ndugu, wacha kuwa na old mindset, sasa hivi kila kona elimu inapewa kipaumbele,
Ndio maana unaona Kigoma ipo hivyo pamoja na kuwa na miundombinu hafifu ya elimu.
Halafu get out of that outdated history. Tupo 2017 sasa..
 
Hii sababu akiitoa Makonda anashambuliwa sana....

Njombe na Iringa hata kwenye maambukizi ya ukimwi sababu hiyo pia huwafanya waongoze lakini hawana cha ajabu sana kwenye elimu, mwenyeji wa huko anajua hilo
Men lie women lie but numbers never lie. Luk @ the numbers bruh!
 
Mkuu Hizo ni chuki sasa,,, Mimi ni Mwenyeji wa huku... Iringa na Njombe si Mara ya Kwanza, angalia iringa hata mwaka 2015 ,
Iringa ni Kitovu cha elimu, even if we don't brag. Tunajiweza class na tumefanya maendeleo kwetu hata bila government backup.
Japo simaanishi kushindana but ukweli ni kuwa Iringa mjini pana Vyuo vikuu vitatu na vyuo vingine kadhaa na shule za Secondary za Binafsi na serikali za Kutosha. Hili sio la kubeza.. Wengi humu wamesoma iringa !
True... Iringa kuna shule nzuri sana... Nimesoma iringa
 
Ndugu, wacha kuwa na old mindset,
Old mindset ipo hiyo..??

sasa hivi kila kona elimu inapewa kipaumbele,
Kupewa kipaumbe si sababu....Swali linakuja! Je ! Hao wanaopewa kipaumbele wapo tayari kuipokea elimu...??

Hii ni tofauti kwa Mikoa ya Kaskazini ambapo utayari wa kupokea Elimu ni mkubwa..


Ndio maana unaona Kigoma ipo hivyo pamoja na kuwa na miundombinu hafifu ya elimu.
Halafu get out of that outdated history. Tupo 2017 sasa..
Nadhani umeshanielewa mantiki yangu..
 
Kagera pamoja na kuchangiwa michango na kudhulumiwa lakini bado wamejitahidi sana,
 
Old mindset ipo hiyo..??

Kupewa kipaumbe si sababu....Swali linakuja! Je ! Hao wanaopewa kipaumbele wapo tayari kuipokea elimu...??

Hii ni tofauti kwa Mikoa ya Kaskazini ambapo utayari wa kupokea Elimu ni mkubwa..


Nadhani umeshanielewa mantiki yangu..
And besides, kigoma wamefanya Vizuri sana, pamoja na kuwa na miundombinu hafifu ya elimu na Maisha kwa ujumla, (nimeenda kigoma Mara 4, I know what I say)..
Unasemaje kuhusu utayari wao katika elimu??
Ningependa kuona figures (Numbers) kwenye majibu yako.
Kama hivi..
Mkoa: Kigoma
2016---- nafasi ya 4,
2015--Nafasi ya 3
 
Kagera pamoja na kuchangiwa michango na kudhulumiwa lakini bado wamejitahidi sana,
Kama tungekuwa tunatumia Parameter moja kupima mafaninikio ya Maisha, basi Rafiki zangu wa Kagera mko[emoji817] [emoji817] , Nimesoma na jamaa zangu wa Kagera, most of them wapo talented katika hili..
 
nahisi kitu kizuri zaidi kila mtu angesomea kwenye mkoa wake.
hapa ndo tungeona wapi wanaweza zaidi, siyo wa Mara anasomea Iringa au kinyume chake.
 
Back
Top Bottom