Mpangilio wa Mikoa kwa ubora wa ufaulu

Mpangilio wa Mikoa kwa ubora wa ufaulu

Mmmmh waha nao wapo vizur tatu/nne sio wengine Mara 11/3 au 2/16 hapa wanakua wanabahatisha
Hawa waha wana nini lakini?? Umeme kwao shida ni mwendo wa kusomea vibatali enzi hizo kwa sasa mwendo wa solata lakini sasa kufaulu ni shida[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo kilimanjaro waliofanya mtiani walikua 28 elfu na ushee na ni mkoa wa pili wenye watainiwa wengi ila ipo nafasi ya tano. Ni maajabu sana. Kilimanjaro watu wanasoma sana
Hii sababu akiitoa Makonda anashambuliwa sana....

Njombe na Iringa hata kwenye maambukizi ya ukimwi sababu hiyo pia huwafanya waongoze lakini hawana cha ajabu sana kwenye elimu, mwenyeji wa huko anajua hilo
 
Hii sababu akiitoa Makonda anashambuliwa sana....

Njombe na Iringa hata kwenye maambukizi ya ukimwi sababu hiyo pia huwafanya waongoze lakini hawana cha ajabu sana kwenye elimu, mwenyeji wa huko anajua hilo
Mkuu Hizo ni chuki sasa,,, Mimi ni Mwenyeji wa huku... Iringa na Njombe si Mara ya Kwanza, angalia iringa hata mwaka 2015 ,
Iringa ni Kitovu cha elimu, even if we don't brag. Tunajiweza class na tumefanya maendeleo kwetu hata bila government backup.
Japo simaanishi kushindana but ukweli ni kuwa Iringa mjini pana Vyuo vikuu vitatu na vyuo vingine kadhaa na shule za Secondary za Binafsi na serikali za Kutosha. Hili sio la kubeza.. Wengi humu wamesoma iringa !
 
Mkuu Hizo ni chuki sasa,,, Iringa na Njombe si Mara ya Kwanza, angalia hata mwaka 2015 ,
Hata hivyo iringa ni Kitovu cha elimu, we don't brag like you do. Tunajiweza class na tumefanya maendeleo kwetu hata bila government backup.
Japo simaanishi kushindana but ukweli ni kuwa Iringa mjini pana Vyuo vikuu vitatu na vyuo vingine kadhaa na shule za Secondary za Binafsi na serikali za Kutosha. Hili sio la kubeza.. Wengi humu wamesoma iringa !
Nadhani hujaelewa nilichomaanisha....

Kwa taarifa nimezaliwa Iringa na kukulia huko na kusoma darasa la kwanza hadi kidato cha sita...
Najua ubora wa elimu hasa kwa shule za Serikali...
Lugha niliyotumia ilikuwa ya kumfumba mwenye chuki ajiingize kichwa kichwa nimpe changamoto kwa hoja..
 
Hii sababu akiitoa Makonda anashambuliwa sana....

Njombe na Iringa hata kwenye maambukizi ya ukimwi sababu hiyo pia huwafanya waongoze lakini hawana cha ajabu sana kwenye elimu, mwenyeji wa huko anajua hilo
Kwenye huu Uzi umeona comment ya Mwana Njombe au Iringa akijigamba na Kudharau mikoa iliyoshindwa kufanya vizuri??
Absolutely NO,
Hivi ndivyo tunatakiwa tuishi.
 
Kwenye huu Uzi umeona comment ya Mwana Njombe au Iringa akijigamba na Kudharau mikoa iliyoshindwa kufanya vizuri??
Absolutely NO,
Hivi ndivyo tunatakiwa tuishi.
Ndivyo tulivyo na nilikuwa namkejeli niliyemnukuu aliyejaribu kuwabeza Njombe na Iringa kwa kutumia idadi ya watahiniwa wa Kilimanjaro...
Nikafananisha na data za UKIMWI kumpamba maana ni nyimbo tunazoimbiwa kuwa kuna wasio bora kwa kila kitu wakiwa bora magoli yanahamishwa
 
Itabidi cku moja watoe orodha yamikoa bora kwa ufaulu bila kuzijumuisha shule za private ndo tutajionea
 
Ndivyo tulivyo na nilikuwa namkejeli niliyemnukuu aliyejaribu kuwabeza Njombe na Iringa kwa kutumia idadi ya watahiniwa wa Kilimanjaro...
Nikafananisha na data za UKIMWI kumpamba maana ni nyimbo tunazoimbiwa kuwa kuna wasio bora kwa kila kitu wakiwa bora magoli yanahamishwa
OK, nimekupata mkuu!
 
Kilimanjaro na Arusha ndio Mikoa Pekee yenye watahiniwa wengi...ina maana mikoa ya Kaskazini swala la Elimu wamelipa kipaumbele..
 
Safi sana Njombe...maana bwana yule asingekawia kuwachamba kama ndugu zenu wa kagera! "Ukimwi nyinyi, ujinga nyinyi......".
 
Kilimanjaro na Arusha ndio Mikoa Pekee yenye watahiniwa wengi...ina maana mikoa ya Kaskazini swala la Elimu wamelipa kipaumbele..
Mbona mna argue like wimps,
Hata population (Idadi ya Watu), Arusha na Moshi ipo juu.
Kwaiyo kama iringa ina Wakazi Laki saba unataka idadi ya watahiniwa ufikie Arusha yenye Wakazi Milioni 3??
 
Hv hii mikoa ya zenji na katavi ni mikoa au ni kata, mkoa wanafunzi 1000 au 2000???
 
Back
Top Bottom