Ogopa mpiga kura illiterate akija mkutanoni au akikuona kwenye Tv hapohapo anaku grade" Lissu mwenyewe ndio yule kavaa kama Lodi lofa simpigii tena kura"Siku zote nasema kwa mwerevu kuwaunga mkono na kuwasikiliza wenzetu wa vyama vya upinzani Tanzania siyo jambo rahisi huwa hamnielewi. Basi endeleeni kushabikia japo naelewa kwamba hatuwezi wote kuwa werevu lazima na wale wengine wa upande wa pili wawepo kwenye jamii.
unataka tukamatwe kwa kukukumbusha juu ya mgombea wenuMuonekano wa mgombea una tija sana kwa wapiga kura. Mavazi ya aina Fulani yatavutia wapiga kura vijana pekee, mengine wazee ,mengine kina mama na Mavazi mengine kina baba.
Lissu Kama mgombea urais hapaswi kujiamulia kuvaa atakavyo. Kamati ya kampeni ijikite kumpangia mavazi yatakayo mletea mashabiki na wapiga kura wa jinsia zote na rika zote.
Kuna Mavazi mengine ukivaa wabibi na wababu wanakuona mkorofi au mgomvi.
Wapiga kura si wanachadema pekee kwaiyo sio lazima sana kwa mgombea kutinga makombati na makofia ya Chadema. Avae suti Safi Kama anazovaa kanisani au nguo nyingine Ila aepuke kuvaa nguo zinazoendana na harakati zaidi. Kofia nazo aangalie aina za kofia za kuvaa.
Nafahamu watu watasema cha muhimu Ni ujumbe lakini bado Mavazi yanasaidia au kuharibu.
Mpaka Sasa Lissu naongoza kwa mikutano inayohudhuriwa na wanaume wa umri wa Kati na vijana. Magufuli anaongoza kwa kina mama wa umri mkubwa na wa Kati na kinababa wazee.
Ni jukumu la kampeni meneja na kamati yake kuona namna ya kuvutia kina mama kwa hotuba zinazowagusa directly hata Mavazi. Kina mama na mababu ndio wapiga kura tusiwaamini Hawa vijana wanaoshangilia barabarani wengi hata kadi hawana.
Muonekano wa mgombea una tija sana kwa wapiga kura. Mavazi ya aina Fulani yatavutia wapiga kura vijana pekee, mengine wazee ,mengine kina mama na Mavazi mengine kina baba.
Lissu Kama mgombea urais hapaswi kujiamulia kuvaa atakavyo. Kamati ya kampeni ijikite kumpangia mavazi yatakayo mletea mashabiki na wapiga kura wa jinsia zote na rika zote.
Kuna Mavazi mengine ukivaa wabibi na wababu wanakuona mkorofi au mgomvi.
Wapiga kura si wanachadema pekee kwaiyo sio lazima sana kwa mgombea kutinga makombati na makofia ya Chadema. Avae suti Safi Kama anazovaa kanisani au nguo nyingine Ila aepuke kuvaa nguo zinazoendana na harakati zaidi. Kofia nazo aangalie aina za kofia za kuvaa.
Nafahamu watu watasema cha muhimu Ni ujumbe lakini bado Mavazi yanasaidia au kuharibu.
Mpaka Sasa Lissu naongoza kwa mikutano inayohudhuriwa na wanaume wa umri wa Kati na vijana. Magufuli anaongoza kwa kina mama wa umri mkubwa na wa Kati na kinababa wazee.
Ni jukumu la kampeni meneja na kamati yake kuona namna ya kuvutia kina mama kwa hotuba zinazowagusa directly hata Mavazi. Kina mama na mababu ndio wapiga kura tusiwaamini Hawa vijana wanaoshangilia barabarani wengi hata kadi hawana.
Wacha aendelee CCM tulishawaambia wana CCM wetu kuwa kuna watu watakuja kuhutubia wanavaa nguo za kijeshi la mgambo ni jeshi la waasi Waliofukuzwa jeshini kwa utovu wa nidhamu wakaunda chama chao kinaitwa Chadema wana mgombea uraisi anayevaa nguo za mgambo aliyefukuzwa jeshini kwa uzinzi na kubaka
Noted. It is a minor issue. Tell CCM the same thing.Muonekano wa mgombea una tija sana kwa wapiga kura. Mavazi ya aina Fulani yatavutia wapiga kura vijana pekee, mengine wazee ,mengine kina mama na Mavazi mengine kina baba.
Lissu Kama mgombea urais hapaswi kujiamulia kuvaa atakavyo. Kamati ya kampeni ijikite kumpangia mavazi yatakayo mletea mashabiki na wapiga kura wa jinsia zote na rika zote.
Kuna Mavazi mengine ukivaa wabibi na wababu wanakuona mkorofi au mgomvi.
Wapiga kura si wanachadema pekee kwaiyo sio lazima sana kwa mgombea kutinga makombati na makofia ya Chadema. Avae suti Safi Kama anazovaa kanisani au nguo nyingine Ila aepuke kuvaa nguo zinazoendana na harakati zaidi. Kofia nazo aangalie aina za kofia za kuvaa.
Nafahamu watu watasema cha muhimu Ni ujumbe lakini bado Mavazi yanasaidia au kuharibu.
Mpaka Sasa Lissu naongoza kwa mikutano inayohudhuriwa na wanaume wa umri wa Kati na vijana. Magufuli anaongoza kwa kina mama wa umri mkubwa na wa Kati na kinababa wazee.
Ni jukumu la kampeni meneja na kamati yake kuona namna ya kuvutia kina mama kwa hotuba zinazowagusa directly hata Mavazi. Kina mama na mababu ndio wapiga kura tusiwaamini Hawa vijana wanaoshangilia barabarani wengi hata kadi hawana.
Wacha aendelee CCM tulishawaambia wana CCM wetu kuwa kuna watu watakuja kuhutubia wanavaa nguo za kijeshi la mgambo ni jeshi la waasi Waliofukuzwa jeshini kwa utovu wa nidhamu wakaunda chama chao kinaitwa Chadema wana mgombea uraisi anayevaa nguo za mgambo aliyefukuzwa jeshini kwa uzinzi na kubaka
Babuu hatuangalii mavazi tunaangalia utu na uzalendo aliokuwa nao
UPUUZI TUPU,hivi ni nchi gani inayoruhusu waasi kuwa na mgombea Urais???Wacha aendelee CCM tulishawaambia wana CCM wetu kuwa kuna watu watakuja kuhutubia wanavaa nguo za kijeshi la mgambo ni jeshi la waasi Waliofukuzwa jeshini kwa utovu wa nidhamu wakaunda chama chao kinaitwa Chadema wana mgombea uraisi anayevaa nguo za mgambo aliyefukuzwa jeshini kwa uzinzi na kubaka