Uchaguzi 2020 Mpangieni Lissu mavazi kipindi cha Kampeni

My President
IMG_20200907_213903.jpeg
IMG_20200906_212246.jpeg
IMG_20200911_143443.jpeg
IMG_20200911_143453.jpeg
 
Siku zote nasema kwa mwerevu kuwaunga mkono na kuwasikiliza wenzetu wa vyama vya upinzani Tanzania siyo jambo rahisi huwa hamnielewi. Basi endeleeni kushabikia japo naelewa kwamba hatuwezi wote kuwa werevu lazima na wale wengine wa upande wa pili wawepo kwenye jamii.
Ogopa mpiga kura illiterate akija mkutanoni au akikuona kwenye Tv hapohapo anaku grade" Lissu mwenyewe ndio yule kavaa kama Lodi lofa simpigii tena kura"

Chadema itazame hawa wapiga kura wasio na makeke Kama kina mama na wazee . Act humble "

Awamu ya pili sera mavazi na matendo yalenge hayo makunidi ya kina mama na wazee ambao wanaonekana kujinasibu na CCM zaid
 
Muonekano wa mgombea una tija sana kwa wapiga kura. Mavazi ya aina Fulani yatavutia wapiga kura vijana pekee, mengine wazee ,mengine kina mama na Mavazi mengine kina baba.

Lissu Kama mgombea urais hapaswi kujiamulia kuvaa atakavyo. Kamati ya kampeni ijikite kumpangia mavazi yatakayo mletea mashabiki na wapiga kura wa jinsia zote na rika zote.

Kuna Mavazi mengine ukivaa wabibi na wababu wanakuona mkorofi au mgomvi.
Wapiga kura si wanachadema pekee kwaiyo sio lazima sana kwa mgombea kutinga makombati na makofia ya Chadema. Avae suti Safi Kama anazovaa kanisani au nguo nyingine Ila aepuke kuvaa nguo zinazoendana na harakati zaidi. Kofia nazo aangalie aina za kofia za kuvaa.

Nafahamu watu watasema cha muhimu Ni ujumbe lakini bado Mavazi yanasaidia au kuharibu.

Mpaka Sasa Lissu naongoza kwa mikutano inayohudhuriwa na wanaume wa umri wa Kati na vijana. Magufuli anaongoza kwa kina mama wa umri mkubwa na wa Kati na kinababa wazee.

Ni jukumu la kampeni meneja na kamati yake kuona namna ya kuvutia kina mama kwa hotuba zinazowagusa directly hata Mavazi. Kina mama na mababu ndio wapiga kura tusiwaamini Hawa vijana wanaoshangilia barabarani wengi hata kadi hawana.
unataka tukamatwe kwa kukukumbusha juu ya mgombea wenu :D :D :D :D
 
Nimeona picha alizoweka ndugu yangu Kapwili moja ya suti ipo poa ,nyingine ya kanzu ipo sawa na Ile ya shati jeupe Kama la rais Kenyatta. Haya mavazi yapo vizuri.

Yapo yale.mavazi yetu yale na mikofia yetu Ile mie nashauri HAPANA. Mgombea atoke mazima Kama anakwenda ikulu. Avumilie Hali ya hewa.
 
Muonekano wa mgombea una tija sana kwa wapiga kura. Mavazi ya aina Fulani yatavutia wapiga kura vijana pekee, mengine wazee ,mengine kina mama na Mavazi mengine kina baba.

Lissu Kama mgombea urais hapaswi kujiamulia kuvaa atakavyo. Kamati ya kampeni ijikite kumpangia mavazi yatakayo mletea mashabiki na wapiga kura wa jinsia zote na rika zote.

Kuna Mavazi mengine ukivaa wabibi na wababu wanakuona mkorofi au mgomvi.
Wapiga kura si wanachadema pekee kwaiyo sio lazima sana kwa mgombea kutinga makombati na makofia ya Chadema. Avae suti Safi Kama anazovaa kanisani au nguo nyingine Ila aepuke kuvaa nguo zinazoendana na harakati zaidi. Kofia nazo aangalie aina za kofia za kuvaa.

Nafahamu watu watasema cha muhimu Ni ujumbe lakini bado Mavazi yanasaidia au kuharibu.

Mpaka Sasa Lissu naongoza kwa mikutano inayohudhuriwa na wanaume wa umri wa Kati na vijana. Magufuli anaongoza kwa kina mama wa umri mkubwa na wa Kati na kinababa wazee.

Ni jukumu la kampeni meneja na kamati yake kuona namna ya kuvutia kina mama kwa hotuba zinazowagusa directly hata Mavazi. Kina mama na mababu ndio wapiga kura tusiwaamini Hawa vijana wanaoshangilia barabarani wengi hata kadi hawana.

Wapiga kura wako 29m+, nusu ya watanzania wote. Kuna mtu hana kadi ya mpiga kura? Au ni data za kupika? Kama hiyo idadi ni ya kupika, matokeo yatakuwaje halali?
 
Wacha aendelee CCM tulishawaambia wana CCM wetu kuwa kuna watu watakuja kuhutubia wanavaa nguo za kijeshi la mgambo ni jeshi la waasi Waliofukuzwa jeshini kwa utovu wa nidhamu wakaunda chama chao kinaitwa Chadema wana mgombea uraisi anayevaa nguo za mgambo aliyefukuzwa jeshini kwa uzinzi na kubaka

Yaani umepatia kabisa, wanaccm wengi ni mazoba hivyo wakiambiwa hivyo wanakubali.
 
Muonekano wa mgombea una tija sana kwa wapiga kura. Mavazi ya aina Fulani yatavutia wapiga kura vijana pekee, mengine wazee ,mengine kina mama na Mavazi mengine kina baba.

Lissu Kama mgombea urais hapaswi kujiamulia kuvaa atakavyo. Kamati ya kampeni ijikite kumpangia mavazi yatakayo mletea mashabiki na wapiga kura wa jinsia zote na rika zote.

Kuna Mavazi mengine ukivaa wabibi na wababu wanakuona mkorofi au mgomvi.
Wapiga kura si wanachadema pekee kwaiyo sio lazima sana kwa mgombea kutinga makombati na makofia ya Chadema. Avae suti Safi Kama anazovaa kanisani au nguo nyingine Ila aepuke kuvaa nguo zinazoendana na harakati zaidi. Kofia nazo aangalie aina za kofia za kuvaa.

Nafahamu watu watasema cha muhimu Ni ujumbe lakini bado Mavazi yanasaidia au kuharibu.

Mpaka Sasa Lissu naongoza kwa mikutano inayohudhuriwa na wanaume wa umri wa Kati na vijana. Magufuli anaongoza kwa kina mama wa umri mkubwa na wa Kati na kinababa wazee.

Ni jukumu la kampeni meneja na kamati yake kuona namna ya kuvutia kina mama kwa hotuba zinazowagusa directly hata Mavazi. Kina mama na mababu ndio wapiga kura tusiwaamini Hawa vijana wanaoshangilia barabarani wengi hata kadi hawana.
Noted. It is a minor issue. Tell CCM the same thing.
 
Huku kwetu, na mshauri avae suruali yenye zipu nyuma. Maana huku kwetu wengi wetu ni wavaa misuli.
 
Wacha aendelee CCM tulishawaambia wana CCM wetu kuwa kuna watu watakuja kuhutubia wanavaa nguo za kijeshi la mgambo ni jeshi la waasi Waliofukuzwa jeshini kwa utovu wa nidhamu wakaunda chama chao kinaitwa Chadema wana mgombea uraisi anayevaa nguo za mgambo aliyefukuzwa jeshini kwa uzinzi na kubaka

Pole sana dada, umeandika kwa uchungu mno itakuwa walikubaka vibaya!
 
Mikutano ya CCM ndo inajaa wanafunzi na wahuni kwa ajili ya bongofleva, hatujasahau zile bangi na mitama pale Taifa!
 
Noted. It is a minor issue. Tell CCM the same thing.
Of course minor but it can be a competitive advantage over CCM candidate. Lissu ana faida ya kimuonekanano kuliko Magufuli anachopaswa ni ku maximize hiyo nafasi.
 
Kwa hiyo magufuli anahudhuriwa na wapiga kura zaidi kuliko wengine..maana uliowataja ndio wapiga kura
 
Wacha aendelee CCM tulishawaambia wana CCM wetu kuwa kuna watu watakuja kuhutubia wanavaa nguo za kijeshi la mgambo ni jeshi la waasi Waliofukuzwa jeshini kwa utovu wa nidhamu wakaunda chama chao kinaitwa Chadema wana mgombea uraisi anayevaa nguo za mgambo aliyefukuzwa jeshini kwa uzinzi na kubaka
UPUUZI TUPU,hivi ni nchi gani inayoruhusu waasi kuwa na mgombea Urais???

Ubongo wa Mende 1 GB shida kweli. 🤣🤣🤣
 
Kwa tafiti zilizopo mtanzania akifika miaka 40 ndio mapenzi yake kwa CCM yanazidi kuimarika hivyo CCM ina uhakika wa kura kila Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom