Mpangaji wangu kashindwa kunilipa kodi

Kaka hakuna haja, hujawaleta town na wala hawakukushirikisha wakati wanaongeza famiia....cha msingi walipe tu na kama hawawezi basi wachomoke fasta kabla ya 30th Nov, bado siku 15 tu toka leo..siku za kuwa mstraabu zishaisha.
Mkuu kama hii sio Chai,ni kweli bas umewavumilia sana..miaka miwili ni mingi mnoo
Je umewahi kuongea nao kujua tatizo ni nini mpaka washindwe kulipa kodi? Ingekuwa baba hafanyi kazi au amesimamishwa hapo sawa ila anafanya kazi,tena wote wawili? Jaribu kwanza kujua tatizo ni nini kabla ya kufanya maamuz
 
Kikubwa ongea nao ujue kinachowasumbua maana maisha yana mengi, nimewahi kaa zaidi ya miezi 6 sijalipa kodi, nashukuru yule jamaa hakuwahi hata kuniuliza, mambo yalivyokaa sawa nikaanza kupunguza miezi miwili miwili mpka deni likaisha..
 
Watu wanamatatizo watu tunamatatizo embu. Fanya vitu shirikishi kama anafanya kazi jaribu kujua mshahara wake na wa mke wake ikiwezekana nenda kazni kwao ukishajua kaa nawo chini uwaahauri waamie nyumba za gharama ya chini Aya mambo ya kupanga nyumba ya 300k na huna kitu na jambo gumu sana labda wanaona ugumu kuamia eneo lingine ila naona kitu kibaya kikija kukutokea ww VP ukifariki ghafla unaisi mkeo atapata ubavu wa kuwatoa au ndyo itapelekea kuanza kulogana au familia yako kulogwa embu waza mbele zaidi kutoa msaada ni jambo zuri ila usizidi kipimo. Ambacho badaye kitakuja kuwa lawama kwako. Story kidogo niliona mtu alipewa shamba akitaka kuweka mifugo yake mwenye shamba akampa hakumuuzia ila alimpa kindugu kwaajili ya kutunzia mifugo yake ikapita miaka 12 kama si 13 badaye alikuja kumgeuka mwenye shamba kuwa alilitelekeza wakapelekana hadi mahakamani akitumia sheria ya ardhi ya ukiitumia ardhi miaka 12 kiaheria unaweza imiliki kama. Yako japo alishindwa mwenyewe shamba akarudishiwa kwaiyo kuwa makini kidogo usiwafukuze ila tumia njia mbazo zitakufever ww
 
mwaka wa pili? mimi pia nimpangaji mkuu lakini hao wamezidi
 
kaka pango ni Sh 300,000 kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 3,600,000 kwa miaka miwili ni 7.2m. ni hela nyingi sana wakuu.
Km maisha yamewashinda wahame tu, kila mtu aishi kadiri ya uwezo wake, kwani lazma waishi humo? Yaani nitoe msaada ilhali nanyongea, haiwezekani
 
kaka pango ni Sh 300,000 kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 3,600,000 kwa miaka miwili ni 7.2m. ni hela nyingi sana wakuu.
Km maisha yamewashinda wahame tu, kila mtu aishi kadiri ya uwezo wake, kwani lazma waishi humo? Yaani nitoe msaada ilhali nanyongea, haiwezekani
 
kaka pango ni Sh 300,000 kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 3,600,000 kwa miaka miwili ni 7.2m. ni hela nyingi sana wakuu.
Hapo unapigwa mkuu

kama milioni 3.6 kashindwa kulipa hadi imefika 7.2m unategemea ikifika 10.8 ndio ataweza kulipa

Nimegundua ndio maana matajiri wengi tunawaona "wana roho" kumbe ni kutofanya mchezo kwenye uwekezaji wao na ndio maana wanafanikiwa
 
Waambie wakulipe kodi ya mwezi mmoja tu ili kupungunguza deni, tuone watasemaje
 

Kawaida mtu akisha omba msamaha na kuomba umvumilie, nakusahauri tu uwavumilie. Yawezekana kweli wanafanya kazi ila hujui yanayowasibu, pengine hawalipwi kutokana na makosa waliyofanya kazini au hali ya kifedha anakofanyia kazi si nzuri.
Fanya tu kama umewasaidia maana hujui kesho yao/yako itakuwaje. Wanaweza kuja kuwa watu wa muhimu sana kwako.
 
Ningekuwa mimi ninge mdai huyo mtoto wao wa kike coz hata kosa cha kunilipa hata kama sio pesa
 
Wavumilie tu Ndugu, ipo siku watakuwa vizuri watakulipa, haya matatizo yote yamesababishwa na serikali ya ccm, sijui nyie wengine kama mnajua kwamba maisha hivi sasa ni utata, nami nawaombea.
 
mkuu wewe ni muumini wa biblia sio??

unakumbuka nini unapoambiwa samehe 7×70??
mpende mwingine kuliko nafsi yako??

Mwenyezi Mungu anaombwa na watu mafanikio,ila kwa kawaida anapotaka kutoa humpitisha mhusika kwenye moto kwanza ili akae sawa,ukiyayuka umefeli,uking'aa umefaulu.sikutii ujinga bali ni injiri katika uhalisia.

hapa naona ni jinsi gani umebakiza mkia na unataka kufeli,ibrahim alisubiri miaka 90,ayubu miaka 40,wana wa israeli miaka 400,wewe miaka miwili hoiii,chali.

mfukuze,vitu utapiga mnada upate mil7 yako,lakini utakapopewa taarifa kwamba ini lako limefeli na unatakiwa matibabu kila mwezi laki 800,wakati uulize mpangaji wako yuko wapi uskie alikumbukwa na magu sijui ni katibu nini sijui wapi hukoo,ndio utajua maisha ni kama taulo tu,leo utafutia uso ulipofutia tak jana.mvumilie na umwombee,maana zilipo baraka zake na zako ndipo zinapopatikana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…