Mpangaji mwenzangu ni mtu mbaya

tabia yako mbaya tu jirekebishe hao mabint wa watu unawapanga msululu eti wachumba huna malengo? you cannot be a drifter in the sea of life and expect to end up somewhere; it is like giving the tax driver too many direction only to end you up nowhere; milunzi mingi humpoteza mbwa
 

dah! yaani umegonga Ikulu kabisa nastahamili japo naumia.Nalog off
 
keshafanyiwa tayari huyo,mfa maji
Akili ni nywele na kila mtu ana zake. Sasa kila atakae haribu mambo yako ya kuwa na gf wengi utamfanyia 'kitu mbaya'?. Angalia kitu mbaya usije ukafanyiwa wewe.
 
player mzuri hujua namna ya kukwepa mafumanizi na mashtukizo ya matukio kwenye harakati zako,,,,,,,,,,
 

Huyo jamaa nae kimeo, ina maana mmekula na kunywa wote pamoja kashindwa hata kumshika sura huyo mchumba wako??? hainiingii akilin nadhan kuna kitu unapindisha hapa mkuuu.....!!!
 
wachumba wawili lazima utakuwa na tatizo washawasha, na wote unawawasha!!! nahofia hao ni wa karibu wa mbali hujawataja hapa
 
Utamaliza mabucha yote lakini nyama ni ileile, sanasana unaweza kuambulia iliyolala
 
..................kwanza ni nini maana ya kuwa na wachumba wawili?je hao wachumba wako wanafahamiana?mimi nakushangaaa ndugu unapomkasirikia jirani yako,mimi si oni kosa lake kabisa,kwani ni kosa yeye kupendaa? itakuwa vibaya kama alifanya kwa makusudi kukukomoa lakini wewe mwenyewe umejikoroga kuwa na wachumba wawili,unawalaghai
mabinti wawili kwa nini?au unampango wa kuwaoa woteee?
 
sasa unalia nini si umuachie mmoja na we uendelee ni huyo mwingine dogo mbona unatamaa unakuwa kama fisi kila sherehe unataka uuzurie mwishowe utakosa vyote.
 
sasa unalia nini si umuachie mmoja na we uendelee ni huyo mwingine dogo mbona unatamaa unakuwa kama fisi kila sherehe unataka uuzurie mwishowe utakosa vyote.
Tatizo ni kwamba hawa wote wawili ni wazuri.
Nalog off
 
nataka kuwaoa wote wawili.
Nalog off
 
wachumba wawili lazima utakuwa na tatizo washawasha, na wote unawawasha!!! nahofia hao ni wa karibu wa mbali hujawataja hapa
hapana sina matatizo ila nina wachumba wawili,sina wa mbali hawa wawili ndio barafu wa moyo wangu.
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…