Wakuu tuliambiwa kuwa kuanzia septemba hii jamaa wa star tv waangeanza kurusha matanganazo kupitia mfumo wa digitali, lakini naona tunaingia octoba sasa. Vipi jamaa wameishia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.