Mpambano kati VILLAGE LIFE na TOWN LIFE..!

KATASAN'KAZA

JF-Expert Member
Jul 24, 2013
3,097
1,354
Wakuu mimi ni born village ila nimekulia kote mjini na vijijini naomba leo tupambanishe maisha haya mimi nitakuwa wa kijijini wamjini mjitokeze na pia wengine wa vijijini karibu mnisaidie kutetea maisha kijijini...!

Sifa za maisha ya kijiijini

Hatuna foleni

Hatulipii choo cha umma

Chakula bwerere ,

matunda, mahindi ya kuchoma, miwa, pombe kama ulanzi, marwa, mbege, gongo na bangi hatuna wa kutubugudhi na vinywaji vyetu.

Maziwa.

Mademu hatuwahongi mnapendana tu bila pesa.

Leta unayojua.., na watu wa mjini tunawangoja hapa tupambane maana tumekaa mjini tunajua kero zenu, mkidanganya sisi na nyie..
 
Town minara ya simu inasoma tu 24 hours, haina haja ya kuparamia miti kutafuta mawasiliano.Town kila mtu anapendeza,hakuna anayetembea pekupeku huku.Town tunajua mambo yote yanayoendelea duniani kwasababu tunaangalia TVs,tunasoma magazeti na kuperuzi Internet. Kijijini vitu hivyo ni adimu sana kwasababu hakuna umeme wala magezi hayafiki.Town warembo vyakula gani vya kileo wasijue kupika?Yaani town we acha tu.
 
Town minara ya simu inasoma tu 24 hours, haina haja ya kuparamia miti kutafuta mawasiliano.Town kila mtu anapendeza,hakuna anayetembea pekupeku huku.Town tunajua mambo yote yanayoendelea duniani kwasababu tunaangalia TVs,tunasoma magazeti na kuperuzi Internet. Kijijini vitu hivyo ni adimu sana kwasababu hakuna umeme wala magezi hayafiki.Town warembo vyakula gani vya kileo wasijue kupika?Yaani town we acha tu.
Mkuu kijijini sisi magezeti ya nini na huku redio mkulima inatosha
 
Last edited:
Kijijini ukiamka asubuhi umezungukwa na kijani, matunda, maua, kivuli hewa safi.

Kitafunwa mixer viazi vitamu, mihogo chai ya maziwa fresh.

Lunch mixer dona na samaki, mboga za majani, full matunda....dinner....wali maharagwe.....kuna kuku wa kienyeji, mayai.....

Magonjwa yanasikiwa kwenye radio....NO cancer, Pressure etc.
 
Madem wa kijiji ni natural, kama kaiva kaiva kweli!!! Kama nyonyo konzi, konzi kweli, tukunyema sio la kichina full heshima, ukitupia vocal kichaka lazima kiende chini(full kuchuma majani);)

Appointment kisimani/mtoni/chemchemi, kuokota kuni au church....:D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom