ashbuton grove
Member
- Aug 27, 2013
- 68
- 4
Tangu asubuhi leo ninajisikia kichefuchefu. Sijui kwa nini..
hukutumia dawa ya penzi
Tangu asubuhi leo ninajisikia kichefuchefu. Sijui kwa nini..
Mke wa mtu sumu. Muwewe akigundua siku akukutafutia jamaa wakupige mtungo utajuta. Achana na wake za watu. Na namba ya x unayo ya nini? Mkishaachana si mnaaachana jumla?? Sema pia ni changamoto sana mtu anaoa au kuolewa anakupa shughuli ni nyepesi mno na anaanza kuwakumbuka wa kale. Kazi ipo na hizi ndoa.
Doh...!!
Punguza povu mkuu, inaelekea mleta Uzi amekupatia haswaaa
uyu dem nlishampa shart la atulie na bwana ake ila ana vinanii mshindo ambavyo bwana ake naona avigusagi,,,km itamanisha kujiuza sawa kwanza mtt mwenyew kaumbika kila idara yupo wats up,,,hauchok kumgegeda!!!!,,,
ata ivo cjapanga kukubaliana na nafs yangu nimgegede for real,,najaribu kuzingatia
''mgegeda wa wenzake na wake hugegedwa'',,,nampenda gal wangu,,naogopa kuibiwa na mm
hivi huoni kama huyu jamaa amejiuza? anapewa pesa analipa penzi. wanaume acheni kujirahisi bana, shida ndogo ndogo zisiwashushie heshma yenu.
ma x wamekua wana maana sana aisee,,,binafsi km uyu akija jjn najua mepona njaa ya kusubir mshahara kwa hulka na jazba,,hahahaNi ngumu sana kufuta namba ya x wako hata mimi bado ninayo ya x wangu niliyembikiri hata huwa akija lazima tugegedane japo kwq kondom, na kibaya zaidi mme wake ananifahamu kwani tulikuwa nq uhusiano tangu tunasoma.
Pm yangu umeiona???
Naona unachelewa kujibu niwapi tukutane kwaajili ya hiyo pesa
jamani duh ulikuwa unamkun na wewe kuomba msaada kwa wake za watuu ndo nini? haya ukisha lipa deni usirudie tena kufanyya hivyo