mpaka unigegede kwanza!

mpaka unigegede kwanza!

unaonaje ukanipangia kiasi Husninyo . hata bank huwa znafanya hvyo ujue.
 
Last edited by a moderator:
duh!! hivi huoni aibu kuomba hela kwa mwanamke?

woman-giving-money-to-man-32344745.jpg
stock-photo-woman-giving-money-to-a-man-113983579.jpg
 
wanakusalmia pia Chocs . Karibu uote upepo
 
Last edited by a moderator:
wasalam wana mmu
wikiend iliyopita j,mos niliona nkajiliwaze club baada ya msongo wa mawazo ya kuhis naibiwa,,,nikakutana na washkaj zangu tuliomaliza nao chuo kwel nikapata god tym ingawa kwa muda,,
kilichonifanya niseme il ni baada ya kuamka j2 sina ela nkaona kuna x wangu anakaa mkoa karib na nlipo nimpige kibom,,,ameolewa ana mwaka sasa,,cha kunshangaza ni kua aliniambia anantumia ila kwa shart la akija nilipo nxt month lazma nimlipe kwa kumgegeda!,,,duu coz nlikua pagum nkasema sawa nipate mpunga ila kilichonishangaza ni shart la binti mrembo uyu,,,
jaman mliooa embu wagegeden wake zenu msiwafanyie fair play wanatusumbuaa!!!!

Cancel maneno uliyoandika hapa yatakurudi at any cost. Kwa akili yako unafikiri wewe unajua kugegeda kuliko walioko majumbani mwao. Huyo mzoga uliokukubalia ugeged usiufananishe na wanawake wenye hadhi zao.

Narudia tena, futa kauli yako ya "jaman mliooa embu wagegeden wake zenu msiwafanyie fair play wanatusumbuaa" itakuandama mpaka unaenda kuzimu. Watakugegedea GF wako, Mchumba au Mke kabisa"
 
shida watu waliooa show zao ni yoriyori. Inabidi mkeo umpe show ya Makhirikhiri, show nzito, una push to the limit, show ni mwanzo mwisho hamna poo!
ukiona umempa show hizo lakini bado katoka nje ya ndoa, ujue huyo ni kunguru, ambaye hafugiki kamwe!
 
Ni ngumu sana kufuta namba ya x wako hata mimi bado ninayo ya x wangu niliyembikiri hata huwa akija lazima tugegedane japo kwq kondom, na kibaya zaidi mme wake ananifahamu kwani tulikuwa nq uhusiano tangu tunasoma.

Mkuu achana naye, hakuna cha urafiki kama mtu akijuwa bata wake analiwa. Wanaume hasira tunazo tukisikia tunaibiwa. Take my words.
 
hahahaha Husninyo tochi yenye simu na kuquote wapi na wapi?
 
Last edited by a moderator:
hahahaha Husninyo tochi yenye simu na kuquote wapi na wapi?

kuna kibutton cha reply ndio unaclick hapo unajibu. dah, itabidi nikuletee liiphone badala ya pesa. lol
 
Last edited by a moderator:
ewaaaaaah! Hapo utalipwa siku 5 mfululizo asubuh hadi jioni Husninyo
 
Last edited by a moderator:
siku akija ujue anakuja na mume wake, utagegeda na wewe utagegedwa, kwa sababu umekula ela ya mwanaume. halafu pitia uzi wa Asprin utakusaidia sifa za mwanaume.
 
Back
Top Bottom