wanawake ndo mabingwa wa kuchuna(opportunists),,,mnavimaliza vibabu vya watu,,,kwa iyo na sisi(wanaume) mara chache chache tukipata fursa ndo km ivo tunazitumia tu)yani wewe kweli kinega unapewa hela na demu unajisifu aisee chaliii wewe vivu... usiombe ukutane na mwanamke kama mimi utazitafuta unaweza ishiwa nauli na ukaomba nikakuacha utembee tokea mbagala mpaka tegeta bila ya huruma ,.....tafuta pesa wewe
hivi unaujua hata huo usawa unaoliliwa ni upi au wafurahisha vidole hapo?
wanawake ndo mabingwa wa kuchuna(opportunists),,,mnavimaliza vibabu vya watu,,,kwa iyo na sisi(wanaume) mara chache chache tukipata fursa ndo km ivo tunazitumia tu)
siku akija ujue anakuja na mume wake, utagegeda na wewe utagegedwa, kwa sababu umekula ela ya mwanaume. halafu pitia uzi wa Asprin utakusaidia sifa za mwanaume.
tunaenda na beats zenu,,,mbna mmetuiga meng,,km kuvaa mavaz yetu,,nyie ki1 tu ik povu linawatoka!
jaman huo uzi wa asprin ndo nin?
ukigegeda wa mwenzio ujue ipo cku wa kwako pia atagegedwa tu!
duh!! hivi huoni aibu kuomba hela kwa mwanamke?
dah! sh mia ndogo sana hata mgegedo wako utakuwa below standard. nimehairisha. lol
povu liko wapi, halafu staki kuongea na "boys" tena. kwaheri
Wanaume siku hizi banaaa
ukigegeda wa mwenzio ujue ipo cku wa kwako pia atagegedwa tu!
tehe tehee,,,umenfraisha sana,,naona umekomaa sio mchezo,,,me sikusapoti kabisa huu ujinga ni fedheha kwa mwanaume kuhongwa aisee ndo maaa kakuomba gemu kijinga jinga alafu ukifika kule ndo mwanzo wa kuambiwa nataka na uani loh... acha hizo mwanume pesa