baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 11,479
- 12,093
Magufuli pamoja na mapungufu yake yote alipenda watu waadilifu wasio na makandokando ndo maana alivyomstukia kondakta alimweka pembeni na kweli kondakta alikua team mtandao.
Je wakati Magufuli mpaka umauti unamfikia huyu Mwigulu alikua ana cheo gani katika serikali ya Magufuli?
Kama alikua ameshamweka kando basi huyu jamaa yenu kuna kitu kiufupi ni team mtandao
Je wakati Magufuli mpaka umauti unamfikia huyu Mwigulu alikua ana cheo gani katika serikali ya Magufuli?
Kama alikua ameshamweka kando basi huyu jamaa yenu kuna kitu kiufupi ni team mtandao