Mpaka tarehe ya leo sisi Wazee hatujapokea pensheni zetu toka HAZINA kulikoni?

Mpaka tarehe ya leo sisi Wazee hatujapokea pensheni zetu toka HAZINA kulikoni?

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
1,289
Reaction score
2,190
Mpaka tarehe ya leo sisi Wazee hatujapokea pensheni zetu toka HAZINA kulikoni?. Tuna maisha magumu na pensheni ndiyo tegemeo letu ili maisha yasonge mbele. HAZINA ifanye hima ili tupate pensheni zetu.
 
Mpaka tarehe ya leo sisi Wazee hatujapokea pensheni zetu toka HAZINA kulikoni?. Tuna maisha magumu na pensheni ndiyo tegemeo letu ili maisha yasonge mbele. HAZINA ifanye hima ili tupate pensheni zetu.
Mkuu hivi utaratibu wa kutoa pesa za mstaafu kutoka hazina upoje? Anapata kwa mkupuo au anapewa kidogokidogo?

Na vipi mtu aliye fariki, ndugu zake wanapataje pesa za hazina na wanapewa kiasi gani. Na zina utofauti gani na hizo zinatoka kwenye NSSF au PSSF?
 
Back
Top Bottom