Mpaka sasa hakuna anayemjua mwanamke aliyerecod video na Gwajima?

Mpaka sasa hakuna anayemjua mwanamke aliyerecod video na Gwajima?

Inasambaa video inayodhaniwa ni ya Gwajima akingonoka na binti/mwanamke.,Mwanamke anayeonekana kwa mwonekano wa kawaida ni smart na kwa asilia flani ni maarufu kwa kiasi chake je?
1. Mpaka sasa hakuna anayejua huyo mwanamke ni nani jina lake halisi?
2. Aliyeleta picha zake zaidi ya ya ile kwenye video amezipata wapi maana tunatarajia kuona walau picha 6 akiwa maeneo tofuti tofauti.
3. Mwanamke huyo hatumii mtandao wowote wa kujamii Fb, insta, twitter n.k?
4. Kwenye video sura ya mwanamke ni ngumu kumtambua kwa urahisi je aliyetoa picha nyingine alifahamu vipi?

NB: Isije ikawa ni mwanamke wa Ghana au Namibia tunaunganishiwa story tuu hapa


Wewe ni mkewe hadi upinge hivi?
Mbona unatumia nguvu sana?
Yeye ni nani hata asitende dhambi?
Nikikumia videos akiwa maeneo tofauti utaamini?


Fikiria kuongeza kipato achana na uzinzi wa watu
 
Huyu demu alisetiwa na inawezekana hata siyo mtanzania. Na ila nimehisi demu anaweza kuwa ni muathirika wa virusi vya UKIMWI ili wammalize vizuri Gwajima akapime maana alikula kavukavu. Hii inanikumbusha wafilisiti walivyomuweza Samson kwa mtego wa Delila. Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.

Utaua mtu kwa presha...
 
Huyo siyo Ngwajima bhana nenda google search.. Utampata huyu mwamba..

Ghanaian University Lecturer Leaked Sex Tape..
330e6a7eba5d99466d6689425591ca01.16.jpg
 
Back
Top Bottom