Hii ni habari njema ila umati wa watu kwenye mikutano ya kampeni sio conclusive evidence ya CCM chali mkoani Mara, determinant ni wapiga kura, na ili CCM ilale chali, hao wapiga kura wengi waipigie Chdema!. Makundi au umati wa watu kwenye kampeni sio kigezo cha ushindi!, nilihudhuria kampeni za Chadema kwenye uchaguzi mdogo majimbo ya Busanda na Biharamulo, kampeni za Chadema zilifunga funika bovu!, na CCM zilidorora hakuna mfano!, lakini kwenye matokeo, kote kuwili ni CCM ilishinda!. Hivyo mpaka sasa, inawezekana ikawa ni kweli mkoa wa Mara CCM chali, na inaweza isiwe!, tusubiri matokeo!.
Pasco.
Ccm iko taabani haina uhakika hata wa kupata mitaa asilimia 10
Wale mafisadi papa yatahifadhiwa na mabwana zao sasa wale wenzangu na mimi wakina vidampa wa lumumba sijui watakimbilia nchi gani,ukawa tunasubiri kuapishwa 2015 nchi yetu
Mwamko wa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha sio hoja!, uchaguzi wa 2010 waliojitokeza kujiandikisha ni watu milioni 20, waliojitokeza kupiga kura ni milioni 8!, na CCM ikachaguliwa kwa kura milioni 5 tuu!.Mara ni mkoa ulio na rasilimali nyingi sana,mbuga za wanyama na madini ya kila aina,lakini serikali imeutenga mkoa na kuusahau,kwahiyo leo hii unapoona wana mara wanajaa kwenye mikutano ya chadema si ajabu,kwani wameamua kupambana na serikali dhaifu inayoongozwa na ccm,mwana mara anapoamua kufanya kitu hamna wa kukizuia landa ukicheleweshe tu,muamko wa kujiandikisha ni mkubwa na sisi wananchi tuko tayari kuiondoa ccm madarakani bila kujali katiba yoyote ila tu tunachotaka ni ccm iondoke madarakani hata kama ni kwa mapanga bhita ni bhita mura
Mwamko wa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha sio hoja!, uchaguzi wa 2010 waliojitokeza kujiandikisha ni watu milioni 20, waliojitokeza kupiga kura ni milioni 8!, na CCM ikachaguliwa kwa kura milioni 5 tuu!.
Bado nasisitiza kipimo cha "chali" ni matokeo ya kura na sio wingi wa umati wa watu kwenye mikutano ya kampeni!.
Pasco.
Mwamko wa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha sio hoja!, uchaguzi wa 2010 waliojitokeza kujiandikisha ni watu milioni 20, waliojitokeza kupiga kura ni milioni 8!, na CCM ikachaguliwa kwa kura milioni 5 tuu!.
Bado nasisitiza kipimo cha "chali" ni matokeo ya kura na sio wingi wa umati wa watu kwenye mikutano ya kampeni!.
Pasco.
Sijui ka george marato kataenda kuishi wapi maana bwana yake hana sifa ya kuongoza tanzania na kupewa uraisi fisadi papa yule
Sijui ka george marato kataenda kuishi wapi maana bwana yake hana sifa ya kuongoza tanzania na kupewa uraisi fisadi papa yule
Ccm imepigwa bao la kisigino kwa kukumbatia mafisadi na kufanya ufisadi kuwa sera ya chama chao
Huku kata ya makoko tumeshatangaza ushindi tangu alhamisi makamanda walipofanya uzinduzi
Mkuu musoma mjini na BUNDA sio mkoa wa Mara rafiki bali hiyo ni sehemu tu ya mkoa wa Mara
Mie nipo Nyamongo wilaya ya Tarime
Je huku sio Mara?
Na je huku hakuna CCM kushinda?
Nadhani ulipaswa kutaja hizo sehemu ulizozitaja kuliko kusema mkoa wa Mara
Au sio mkuu?
Hii ni habari njema ila umati wa watu kwenye mikutano ya kampeni sio conclusive evidence ya CCM chali mkoani Mara, determinant ni wapiga kura, na ili CCM ilale chali, hao wapiga kura wengi waipigie Chdema!. Makundi au umati wa watu kwenye kampeni sio kigezo cha ushindi!, nilihudhuria kampeni za Chadema kwenye uchaguzi mdogo majimbo ya Busanda na Biharamulo, kampeni za Chadema zilifunga funika bovu!, na CCM zilidorora hakuna mfano!, lakini kwenye matokeo, kote kuwili ni CCM ilishinda!. Hivyo mpaka sasa, inawezekana ikawa ni kweli mkoa wa Mara CCM chali, na inaweza isiwe!, tusubiri matokeo!.
Pasco.[/QUOT
Kaka hapa umenena vilivyo, tufanye utafiti hapa jamii forum kwamba ni wapinzani wangapi wamejiandikisha kupiga kura serikali za mitaa hapa hapa. Ngoja nitaanzisha uzi hapa tuone. Mimi nimejiandikisha nasikitika sana mke wangu alichelewa kujiandikisha huku kwetu hawakutangaza watu kkujiandikisha ila wajanja tulikuwa tukifatilia.
Na nitaenda kupiga kura
Nyamongo si ndo kwenye madini au? kwenye ule mto uliotiririshiwa sumu kutokana na hayo madini yaliyo chini ya CCM?
Katika mtaa wangu mpaka sasa mtendaji wa ccm kaogopa kujiandikisha na amepanga siku ya kupiga kura asafiri kwenda mwanzaHii ni habari njema ila umati wa watu kwenye mikutano ya kampeni sio conclusive evidence ya CCM chali mkoani Mara, determinant ni wapiga kura, na ili CCM ilale chali, hao wapiga kura wengi waipigie Chdema!. Makundi au umati wa watu kwenye kampeni sio kigezo cha ushindi!, nilihudhuria kampeni za Chadema kwenye uchaguzi mdogo majimbo ya Busanda na Biharamulo, kampeni za Chadema zilifunga funika bovu!, na CCM zilidorora hakuna mfano!, lakini kwenye matokeo, kote kuwili ni CCM ilishinda!. Hivyo mpaka sasa, inawezekana ikawa ni kweli mkoa wa Mara CCM chali, na inaweza isiwe!, tusubiri matokeo!.
Pasco.[/QUOT
Kaka hapa umenena vilivyo, tufanye utafiti hapa jamii forum kwamba ni wapinzani wangapi wamejiandikisha kupiga kura serikali za mitaa hapa hapa. Ngoja nitaanzisha uzi hapa tuone. Mimi nimejiandikisha nasikitika sana mke wangu alichelewa kujiandikisha huku kwetu hawakutangaza watu kkujiandikisha ila wajanja tulikuwa tukifatilia.
Na nitaenda kupiga kura
Wamejiandikisha?Ccm haina pakutokea mimi ni mkazi wa musoma mjini na pia biashara zangu huwa nafanyia bunda kiujumla musoma mjini na bunda ccm haipo kabisa,na bunda wapo tayali kumng'oa wassira