Kitulizeni basi. Hamuwezi kuishi bila ngono??Hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene
Kitulizeni basi. Hamuwezi kuishi bila ngono??
unalalamika wenzio hawana seal we we yakwako ipo?
Kwa hiyo tumeamua kuhalalisha? Basi msilaumu kwa matokeo mabaya...kubebeshwa mimba na kutelekezwa, kuumizwa kihisia na mengineyo. Huwa tunabuna tulichopanda..!Kwa kizazi cha leo kama hutaki ngono labda usiingie kwenye mahusiano. Ukishaingia kwenye mahusiano uwezekano wa kukwepa ngono upo kwa asilimia 20 tu. The only way to be safe ni kubaki singo....swali utakuwa singo maisha yako yote? Usiwe na familia? Sikatai wapo watu wanaoingia ndoani hawajazini lakini watu kama hao wako wangapi? Dhambi ilishateka ulimwengu tufanyeje sasa na sie ndo tupo ulimwenguni....
Kwa hiyo tumeamua kuhalalisha? Basi msilaumu kwa matokeo mabaya...kubebeshwa mimba na kutelekezwa, kuumizwa kihisia na mengineyo. Huwa tunabuna tulichopanda..!
Sasa kama tunatakiwa tuvune tulichopanda kwa nini mzinifu mwenzangu unayakimbia mavuno yako? Inasikitisha kosa mmefanya wawili af mzigo anatwishwa mmoja tu. Ndio maana miss chagga anasema hamna maana kabisa. Na ni kweli hamna maana kwa kweli.....huwa natamani kuongea na wadogo zangu wa kike lakini kizazi cha smatfon aisee ni shidaaa. Laiti kama tungekuwa tunajaliwa ufahamu mapema....tatizo tunakuja kugundua baadae sana kwa tuliodhani ni kondoo kumbe ni mbwa mwitu wakali...
ongea vizuriHuu utafiti usio rasmi uliufanyia wapi na kwa njia gani
Utafit una asilimia kubwa ukweli na kauwongo ndani yake
Mtu akifanywa kwa mara ya kwanza kale kakaondolewa hao wanaume waliowafanyia hivo hua hawajatuliaga na kivyovyote vile inampelekea mtu kuachana na pia wanawake wenyewe hua nao akishaujua utam unakuaje atataka ajue na vingine ni wachache hudumu nao ila asilimia kubwa mtu huo au kuolewa na yule ambae s yy alimfungua.
Neno moja tu Khantwe."you're on the losing side" . Mkishakumbuka hilo mtajua mfanyeje..!
mke mwenza umeongea vyema sana leo
Machek bob Ndo wanaowavutia zaid warembo hasa ujanani, na ndo uwa wanajiamini had kuweza kuwatoa bikra, magud boy Weng ni kama washamba flani ivi so kwa kipindi cha ujana wasichana uwa hawawapend kabisa
Ni kwa nini brenda 18..kwanini sisi good/decent man mnatudiss..why u like people who treat u rough..?!Hihihi...hapa umenigusaπ
Ni kwa nini brenda 18..kwanini sisi good/decent man mnatudiss..why u like people who treat u rough..?!
Hao gud guys mnawatafuta wengine mkiwa na watoto eeeeh!Kiukweli at that foolish age decent guys are just boring..hata kukiss inakuwa dhambi ndo maana tunaenda rough way have fun ya kila aina...tukitaka kutulia ndo gud guys tunawatafutaπ
Hao gud guys mnawatafuta wengine mkiwa na watoto eeeeh!
Mmmmh! ni shidaaaaYes wengine fate zao zipo hivyo..wengine hawatakua na watoto but still alishafyatua wengi..kila mtu na story ake
Mmmmh! ni shidaaaa
Sasa kama bikira mnawapelekea macheckbob halafu viporo ndo tule gud guys sio fair kabisaBut still wapo so many good dadas out there it's sad to see this generalization..as much as there are gud guys there are gud ladies...so msiogope lol
mi dem wangu bikra na mi mwenyewe bikra 18yrs. na2na malengo ya kuoana and 2po chuo first year