Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,873
- 7,143
Kwanza, nimejiuliza kuhusu vita ya Russia na Ukraine, kwamba pasingekuwa na mkono wa US tayari biashara ingeisha mapema sana. Saa hizi Ukraine yote ingekuwa imepambwa kwa bendera za Urusi tu.
Pili nimejiuliza inakuwaje, Putin alitoa ahadi ya kumshughulikia kikamilifu yoyote atakae jiingiza kwenye hiyo vita kwa namna yoyote.
Lakini mbaka sasa US anaonyesha waziwazi ushiriki wake lakini sioni action yoyote Putin anayochukuwa kwa aliewaonya kujihusisha na vita hiyo.
Tatu najiuliza, kwanini US wanatoa taarifa ya kila kitu wanacho peleka Ukraine,Yani vifaa vya kijeshi.
Wanasema wazi kabisa, mwezi huu tunapeleka silaha flani,mweziujao tunapeleka silaha flani nakweli zinakwenda waziwazi bila kificho.
Sasa tushangae wote, kwanini nchi nyingine hawatangazi kumsaidia Putini kijeshi waziwazi?.
Kwanini hatakama wanamsaidia kwa kificho,kwanini US anawafuatilia na akiwataja kwamba wanamsaidia Putin wao wanakimbia haraka kwenye Media kukanusha kwamba hawajasaidia chochote.
Wanakataa kata kata, wanaogopa nini kusema ndio tunamsaidia bwana Putini kujilinda.
Mbona US wanatangaza wenyewe kwamba tunapeleka silaha na wanapelekakweli.
Inamaana hawa muhofii mtu yoyote. Kwanini?
Hapo sijaweka tukio la Taiwan sababu wote tunajua kilicho tokea.
Pili nimejiuliza inakuwaje, Putin alitoa ahadi ya kumshughulikia kikamilifu yoyote atakae jiingiza kwenye hiyo vita kwa namna yoyote.
Lakini mbaka sasa US anaonyesha waziwazi ushiriki wake lakini sioni action yoyote Putin anayochukuwa kwa aliewaonya kujihusisha na vita hiyo.
Tatu najiuliza, kwanini US wanatoa taarifa ya kila kitu wanacho peleka Ukraine,Yani vifaa vya kijeshi.
Wanasema wazi kabisa, mwezi huu tunapeleka silaha flani,mweziujao tunapeleka silaha flani nakweli zinakwenda waziwazi bila kificho.
Sasa tushangae wote, kwanini nchi nyingine hawatangazi kumsaidia Putini kijeshi waziwazi?.
Kwanini hatakama wanamsaidia kwa kificho,kwanini US anawafuatilia na akiwataja kwamba wanamsaidia Putin wao wanakimbia haraka kwenye Media kukanusha kwamba hawajasaidia chochote.
Wanakataa kata kata, wanaogopa nini kusema ndio tunamsaidia bwana Putini kujilinda.
Mbona US wanatangaza wenyewe kwamba tunapeleka silaha na wanapelekakweli.
Inamaana hawa muhofii mtu yoyote. Kwanini?
Hapo sijaweka tukio la Taiwan sababu wote tunajua kilicho tokea.