Mpaka hapa tulipo,US ndio taifa linaloogopeka Duniani

Mpaka hapa tulipo,US ndio taifa linaloogopeka Duniani

Liwagu

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2017
Posts
5,873
Reaction score
7,143
Kwanza, nimejiuliza kuhusu vita ya Russia na Ukraine, kwamba pasingekuwa na mkono wa US tayari biashara ingeisha mapema sana. Saa hizi Ukraine yote ingekuwa imepambwa kwa bendera za Urusi tu.

Pili nimejiuliza inakuwaje, Putin alitoa ahadi ya kumshughulikia kikamilifu yoyote atakae jiingiza kwenye hiyo vita kwa namna yoyote.

Lakini mbaka sasa US anaonyesha waziwazi ushiriki wake lakini sioni action yoyote Putin anayochukuwa kwa aliewaonya kujihusisha na vita hiyo.

Tatu najiuliza, kwanini US wanatoa taarifa ya kila kitu wanacho peleka Ukraine,Yani vifaa vya kijeshi.
Wanasema wazi kabisa, mwezi huu tunapeleka silaha flani,mweziujao tunapeleka silaha flani nakweli zinakwenda waziwazi bila kificho.

Sasa tushangae wote, kwanini nchi nyingine hawatangazi kumsaidia Putini kijeshi waziwazi?.

Kwanini hatakama wanamsaidia kwa kificho,kwanini US anawafuatilia na akiwataja kwamba wanamsaidia Putin wao wanakimbia haraka kwenye Media kukanusha kwamba hawajasaidia chochote.
Wanakataa kata kata, wanaogopa nini kusema ndio tunamsaidia bwana Putini kujilinda.

Mbona US wanatangaza wenyewe kwamba tunapeleka silaha na wanapelekakweli.
Inamaana hawa muhofii mtu yoyote. Kwanini?

Hapo sijaweka tukio la Taiwan sababu wote tunajua kilicho tokea.
 
"Mbaka"
Uandishi wa wabongo wengi ni janga la kitaifa kuzidi hata upungufu wa nguvu za kiume[emoji848]
Hahahaa samehe bure ndugu naandika huku nipo road, hata heading imeyumba.
 
Kwanza, nimejiuliza kuhusu vita ya Russia na Ukraine, kwamba pasingekuwa na mkono wa US tayari biashara ingeisha mapema sana. Saa hizi Ukraine yote ingekuwa imepambwa kwa bendera za Urusi tu.

Pili nimejiuliza inakuwaje, Putin alitoa ahadi ya kumshughulikia kikamilifu yoyote atakae jiingiza kwenye hiyo vita kwa namna yoyote.

Lakini mbaka sasa US anaonyesha waziwazi ushiriki wake lakini sioni action yoyote Putin anayochukuwa kwa aliewaonya kujihusisha na vita hiyo.

Tatu najiuliza, kwanini US wanatoa taarifa ya kila kitu wanacho peleka Ukraine,Yani vifaa vya kijeshi.
Wanasema wazi kabisa, mwezi huu tunapeleka silaha flani,mweziujao tunapeleka silaha flani nakweli zinakwenda waziwazi bila kificho.

Sasa tushangae wote, kwanini nchi nyingine hawatangazi kumsaidia Putini kijeshi waziwazi?.

Kwanini hatakama wanamsaidia kwa kificho,kwanini US anawafuatilia na akiwataja kwamba wanamsaidia Putin wao wanakimbia haraka kwenye Media kukanusha kwamba hawajasaidia chochote.
Wanakataa kata kata, wanaogopa nini kusema ndio tunamsaidia bwana Putini kujilinda.

Mbona US wanatangaza wenyewe kwamba tunapeleka silaha na wanapelekakweli.
Inamaana hawa muhofii mtu yoyote. Kwanini?

Hapo sijaweka tukio la Taiwan sababu wote tunajua kilicho tokea.
Hapana shaka chief. USA inatisha. USA ndo alimwokoa USSR mikononi mwa ujerumani kwa kuwapa siraha kali
 
ushakuwa mwl wa kiswahili muda huu ? [emoji23][emoji23] ebu jikite kwenye mada tutolee upopoma wako humu sio darasa la uandishi
Watoto wa nje ya ndoa mna matatizo sana
 




Russia mpango wa Mungu Allah Akbar
 
Kama mnataka ajira za ualimu mje ninazo 3 mshahara mnono sio kujitangaza kihun humu [emoji23]
Mie sina shida na ajira za ualimu nina biashara yangu kubwa ya majeneza ambapo napiga hela mpaka 7m per month.
Nikuombe tu ikitokea umekaribia kufa waambie ndugu zako waje niwauzie jeneza lako kwa bei ya punguzo
 
Na akawapora Shaba yote ya Alaska, hiyo kitu inamuuma sana Putin sema ujanja Hana!!
Alaska ni swala la zaman enz za balance of powers among Europeans , Urusi aliogopa kuporwa akaamua liuza kwa USA
 
Mie sina shida na ajira za ualimu nina biashara yangu kubwa ya majeneza ambapo napiga hela mpaka 7m per month.
Nikuombe tu ikitokea umekaribia kufa waambie ndugu zako waje niwauzie jeneza lako kwa bei ya punguzo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa kilaza sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa kilaza sana
Mie sio kilaza ila ni mjasiriamali wa ndani.!
Ukija Dom nitafute japo uje uniunge majeneza kaka ukinunua mawili nakuongeza moja la mtoto akiba haiozi unayatunza ndani ikitokea msiba unatumia
 
Mie sio kilaza ila ni mjasiriamali wa ndani.!
Ukija Dom nitafute japo uje uniunge majeneza kaka ukinunua mawili nakuongeza moja la mtoto akiba haiozi unayatunza ndani ikitokea msiba unatumia
umetisha asee , niombee uzima ili uzid kula hasara [emoji1787]
 
Back
Top Bottom