Lile sharti lako kwa Lowassa kuwa aje na watu, wewe ukaona hana watu, ukatoka UKAWA limedhihirisha kwamba utafiti wako unaojikweza nao haukufanyika kiweredi maana watu aliokuja nao ni zaidi ya ukiokuwa nao.
Nadhani mfuriko unayaona. Lakini hebu fikiria mzizi wa CCM kwenda UKAWA na kusema Peopleeeeeees! unadhani CCM itendelea kuota au ndo hivyo inakauka. Kungunge jembe!, uzee wa mwili ni issue nyingine, kichwa bado kiko fit.
Nadhani mfuriko unayaona. Lakini hebu fikiria mzizi wa CCM kwenda UKAWA na kusema Peopleeeeeees! unadhani CCM itendelea kuota au ndo hivyo inakauka. Kungunge jembe!, uzee wa mwili ni issue nyingine, kichwa bado kiko fit.