Mpaka hapa Dr. Slaa kubali kuwa Lowassa ni ASSET

Mpaka hapa Dr. Slaa kubali kuwa Lowassa ni ASSET

Papa1

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
2,023
Reaction score
2,218
Lile sharti lako kwa Lowassa kuwa aje na watu, wewe ukaona hana watu, ukatoka UKAWA limedhihirisha kwamba utafiti wako unaojikweza nao haukufanyika kiweredi maana watu aliokuja nao ni zaidi ya ukiokuwa nao.

Nadhani mfuriko unayaona. Lakini hebu fikiria mzizi wa CCM kwenda UKAWA na kusema Peopleeeeeees! unadhani CCM itendelea kuota au ndo hivyo inakauka. Kungunge jembe!, uzee wa mwili ni issue nyingine, kichwa bado kiko fit.
 
Ni Asset? Unajua ilisemwa anakuja na Wabunge wangapi? Mpaka sasa hata wale wa kufa kupona wanagombea huko CCM ....unajua nguvu kubwa inayotumika kupangua hoja za ufisadi kuliko kunadi ilani ya Chadema? Hivi nyie mashabiki mnaijua hata hiyo ilani japo kidogo? Bora hata magufuli anatembea nayo na kuinadi .....Hivi unaamini idadi ya mahudhurio kwenye mikutano ndio kura? Pengine hukujua nini kilitokea kwa Mrema na hata Dr Slaa mwaka 2010 .....huu uchaguzi tunapoteza vibaya hadi level ya ubunge (mark my word) ....hatuna hoja nzito zaidi ya kuaminisha watu kuichoka tu CCM tena kazi hiyo ikifanywa na akina Sumaye ......Aibu tu ....
 
Ni Asset? Unajua ilisemwa anakuja na Wabunge wangapi? Mpaka sasa hata wale wa kufa kupona wanagombea huko CCM ....unajua nguvu kubwa inayotumika kupangua hoja za ufisadi kuliko kunadi ilani ya Chadema? Hivi nyie mashabiki mnaijua hata hiyo ilani japo kidogo? Bora hata magufuli anatembea nayo na kuinadi .....Hivi unaamini idadi ya mahudhurio kwenye mikutano ndio kura? Pengine hukujua nini kilitokea kwa Mrema na hata Dr Slaa mwaka 2010 .....huu uchaguzi tunapoteza vibaya hadi level ya ubunge (mark my word) ....hatuna hoja nzito zaidi ya kuaminisha watu kuichoka tu CCM tena kazi hiyo ikifanywa na akina Sumaye ......Aibu tu ....

Kuelewa hoja ni sehemu ya kushughulikia hoja. Kuelewa swali ni sehemu ya jibu la swali. Nazungumzia hoja ya Dr. Slaa na idadi ya wafuasi wa Lowasa. This has nothing to do with Mrema or to deal with ufisadi. Nahisi umefika hapo ulipo kwa kukariri past papers, ukipata kitu kipya una wash out. Think again about my point.
 
Eti slaa kwa akili yake aliamini kabisa kuwa lowassa angekuja chadema kumsafishia njia ya yeye slaa kwenda ikulu..kwelii?

Nyinyi ndio mmekuja na mafuriko ya bwana mkubwa ....kura za mitandao yote hata humu JF Dr Slaa alikuwa akiongoza ....kuna watu humu waliapa kwa miungu yao kuwa Chadema isipo mteua Dr Slaa wanajitoa lakini sasa ndio wanaoongoza jahazi la kumtukana matusi yote .....uchaguzi ukipita hukumu ni hapa hapa JF
 
Kuelewa hoja ni sehemu ya kushughulikia hoja. Kuelewa swali ni sehemu ya jibu la swali. Nazungumzia hoja ya Dr. Slaa na idadi ya wafuasi wa Lowasa. This has nothing to do with Mrema or to deal with ufisadi. Nahisi umefika hapo ulipo kwa kukariri past papers, ukipata kitu kipya una wash out. Think again about my point.

Watu kama hao ni kuwadharau tu,mtu haelewi hata mada.tatzo watu wa lumumba wavivu wa kusoma
 
Ni Asset? Unajua ilisemwa anakuja na Wabunge wangapi? Mpaka sasa hata wale wa kufa kupona wanagombea huko CCM ....unajua nguvu kubwa inayotumika kupangua hoja za ufisadi kuliko kunadi ilani ya Chadema? Hivi nyie mashabiki mnaijua hata hiyo ilani japo kidogo? Bora hata magufuli anatembea nayo na kuinadi .....Hivi unaamini idadi ya mahudhurio kwenye mikutano ndio kura? Pengine hukujua nini kilitokea kwa Mrema na hata Dr Slaa mwaka 2010 .....huu uchaguzi tunapoteza vibaya hadi level ya ubunge (mark my word) ....hatuna hoja nzito zaidi ya kuaminisha watu kuichoka tu CCM tena kazi hiyo ikifanywa na akina Sumaye ......Aibu tu ....

Tulio site tunajua.
Usijidanganye mkuu, Change is around the corner!
 
Kuelewa hoja ni sehemu ya kushughulikia hoja. Kuelewa swali ni sehemu ya jibu la swali. Nazungumzia hoja ya Dr. Slaa na idadi ya wafuasi wa Lowasa. This has nothing to do with Mrema or to deal with ufisadi. Nahisi umefika hapo ulipo kwa kukariri past papers, ukipata kitu kipya una wash out. Think again about my point.

Unajua mantiki ya Asset kisiasa?
 
Ni Asset? Unajua ilisemwa anakuja na Wabunge wangapi? Mpaka sasa hata wale wa kufa kupona wanagombea huko CCM ....unajua nguvu kubwa inayotumika kupangua hoja za ufisadi kuliko kunadi ilani ya Chadema? Hivi nyie mashabiki mnaijua hata hiyo ilani japo kidogo? Bora hata magufuli anatembea nayo na kuinadi .....Hivi unaamini idadi ya mahudhurio kwenye mikutano ndio kura? Pengine hukujua nini kilitokea kwa Mrema na hata Dr Slaa mwaka 2010 .....huu uchaguzi tunapoteza vibaya hadi level ya ubunge (mark my word) ....hatuna hoja nzito zaidi ya kuaminisha watu kuichoka tu CCM tena kazi hiyo ikifanywa na akina Sumaye ......Aibu tu ....

Kwani ujio wa wabunge na watu wengne kipi bora?? Mi mwenyewe nlkuwa ccm ila nmemfuata lowasa huku.tumia akili sio kukurupuka,harafu tz ina matatzo mengi so hatuwezi kukaa kuongelea jambo moja kila mwaka
 
Ni Asset? Unajua ilisemwa anakuja na Wabunge wangapi? Mpaka sasa hata wale wa kufa kupona wanagombea huko CCM ....unajua nguvu kubwa inayotumika kupangua hoja za ufisadi kuliko kunadi ilani ya Chadema? Hivi nyie mashabiki mnaijua hata hiyo ilani japo kidogo? Bora hata magufuli anatembea nayo na kuinadi .....Hivi unaamini idadi ya mahudhurio kwenye mikutano ndio kura? Pengine hukujua nini kilitokea kwa Mrema na hata Dr Slaa mwaka 2010 .....huu uchaguzi tunapoteza vibaya hadi level ya ubunge (mark my word) ....hatuna hoja nzito zaidi ya kuaminisha watu kuichoka tu CCM tena kazi hiyo ikifanywa na akina Sumaye ......Aibu tu ....

Bongo zenye Akili hongera sana
 
Anyway tusubiri October 25!
Kila mtu atakuja na MTAZAMO wake!
Ubishi utaisha.
I have marked your words.

Noted mkuu ....wengine tumefuatilia mengi muda mrefu tukiunga mkono upinzani ....binafsi nilikuwa miongoni mwa vijana tuliosukuma gari ya Mrema hadi Arusha resort (kipindi hiko bado mpya mpya ) .....nimesoma na baadae kushiriki mijadala mingi kuhusu ufisadi na hujuma nyingi za CCM dhidi ya upinzani ....pamoja na yote tulichotengenezewa sasa ni utapeli wa kisiasa ambao kama huna ushabiki huwezi kubebwa na upepo .....baada ya uchaguzi tukutane hapa kwa mijadala yenye utulivu maana walau jukwaa litarudi kwenye umakini wake ....
 
Noted mkuu ....wengine tumefuatilia mengi muda mrefu tukiunga mkono upinzani ....binafsi nilikuwa miongoni mwa vijana tuliosukuma gari ya Mrema hadi Arusha resort (kipindi hiko bado mpya mpya ) .....nimesoma na baadae kushiriki mijadala mingi kuhusu ufisadi na hujuma nyingi za CCM dhidi ya upinzani ....pamoja na yote tulichotengenezewa sasa ni utapeli wa kisiasa ambao kama huna ushabiki huwezi kubebwa na upepo .....baada ya uchaguzi tukutane hapa kwa mijadala yenye utulivu maana walau jukwaa litarudi kwenye umakini wake ....

Ok mkuu, the end justifies the means.
Mambo mengine hayafuati history.
Yanakuja kivingine kama siasa za mwaka huu.
 
Ni Asset? Unajua ilisemwa anakuja na Wabunge wangapi? Mpaka sasa hata wale wa kufa kupona wanagombea huko CCM ....unajua nguvu kubwa inayotumika kupangua hoja za ufisadi kuliko kunadi ilani ya Chadema? Hivi nyie mashabiki mnaijua hata hiyo ilani japo kidogo? Bora hata magufuli anatembea nayo na kuinadi .....Hivi unaamini idadi ya mahudhurio kwenye mikutano ndio kura? Pengine hukujua nini kilitokea kwa Mrema na hata Dr Slaa mwaka 2010 .....huu uchaguzi tunapoteza vibaya hadi level ya ubunge (mark my word) ....hatuna hoja nzito zaidi ya kuaminisha watu kuichoka tu CCM tena kazi hiyo ikifanywa na akina Sumaye ......Aibu tu ....
Kama unafananisha Mrema na Lowassa unafanabisha usiku na mchana .kama unajirisha kuwa mahudhurio hayana uhusiano na ushindi msinge kodi malori kubeba watu .mwisho mwaka huu vijana wamejiandikisha fully.
 
Ni Asset? Unajua ilisemwa anakuja na Wabunge wangapi? Mpaka sasa hata wale wa kufa kupona wanagombea huko CCM ....unajua nguvu kubwa inayotumika kupangua hoja za ufisadi kuliko kunadi ilani ya Chadema? Hivi nyie mashabiki mnaijua hata hiyo ilani japo kidogo? Bora hata magufuli anatembea nayo na kuinadi .....Hivi unaamini idadi ya mahudhurio kwenye mikutano ndio kura? Pengine hukujua nini kilitokea kwa Mrema na hata Dr Slaa mwaka 2010 .....huu uchaguzi tunapoteza vibaya hadi level ya ubunge (mark my word) ....hatuna hoja nzito zaidi ya kuaminisha watu kuichoka tu CCM tena kazi hiyo ikifanywa na akina Sumaye ......Aibu tu ....
Kama unafananisha Mrema na Lowassa unafanabisha usiku na mchana .kama unajirisha kuwa mahudhurio hayana uhusiano na ushindi msinge kodi malori kubeba watu .mwisho mwaka huu vijana wamejiandikisha fully.
 
Ni Asset? Unajua ilisemwa anakuja na Wabunge wangapi? Mpaka sasa hata wale wa kufa kupona wanagombea huko CCM ....unajua nguvu kubwa inayotumika kupangua hoja za ufisadi kuliko kunadi ilani ya Chadema? Hivi nyie mashabiki mnaijua hata hiyo ilani japo kidogo? Bora hata magufuli anatembea nayo na kuinadi .....Hivi unaamini idadi ya mahudhurio kwenye mikutano ndio kura? Pengine hukujua nini kilitokea kwa Mrema na hata Dr Slaa mwaka 2010 .....huu uchaguzi tunapoteza vibaya hadi level ya ubunge (mark my word) ....hatuna hoja nzito zaidi ya kuaminisha watu kuichoka tu CCM tena kazi hiyo ikifanywa na akina Sumaye ......Aibu tu ....

(Mark my word)..kichwa box..upuzii huu nani au mark..!!?
unabwayabwaya hoja sifuri, au ulidhani kutembea na hichi kiilani danganya maboya ka wewe ndio tutapiga kura..
tuliza kitenesi simbilisii..
 
nyinyi ndio mmekuja na mafuriko ya bwana mkubwa ....kura za mitandao yote hata humu jf dr slaa alikuwa akiongoza ....kuna watu humu waliapa kwa miungu yao kuwa chadema isipo mteua dr slaa wanajitoa lakini sasa ndio wanaoongoza jahazi la kumtukana matusi yote .....uchaguzi ukipita hukumu ni hapa hapa jf
mungu molec amewatoka vichwani mwao na sasa ni wanyoofu, mshike sana elim usimwache aende zake maana huyo elimu anauzima ndani yake
zingatia kijana
 
MTAZAMO.....! Kipi unachagua...ukawa au ccm? Umoja ni nguvu....heshimu umoja huu....any way, huo ndo mtazamo wangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom