Moyo wangu

Moyo wangu

Mapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
Heri angekumwaga kuliko kukumimina,pole sana dogo kwa kuteswa na mapenzi sisi kaka zako tunateswa na pesa.
 
nilipata ulcers kwenye mapenzi nikaona nikipenda tena ntapata ugonjwa wa moyo wacha nivunje mifupa meno yangali yapo...... Siwazi kupenda zaid ya kutamani

Haya kilala kheriii.
 
Tuliza jazba mkuu uandike vizuri manake huo mwandiko unaumiza macho
 
Daah asee hii ni hatar

ila swala la kwmba hii tabia y kupendapenda cyo nzuri c kila sku tunaambiwa mbna hatukomi?

Wanamusic kila sku wanatoa nyimbo mara mapenzi bac, mara sikupendi, mara nenda zako, mara mapenzi kichaka

Kwny movies, hadithi, stories kila sku zinatuambia

sasa cjui kwann hatuelew sisi viumbe
Dawa ya mapenzi ni kutendwa kwenye mapenzi huwezi kuwa na akili sawasawa hadi utendwe sasa kama umeshapitia huko na sasahvi hupendi kwa moyo wote basi tunasema umeshamaliza stage ya utoto umekuwa mtu mzima
 
Kuitwa mtu mzima na uliyekomaa sio kitu rahisi...ni kwamba umepitia baadhi ya changamoto na kuweza kuzikabili,."Upendo hushinda kifo"...

Pole sana sana,.sisi watu wazima tulisha yaonja hayo kiasi yametukomaza,.kupenda hatuachi kupendana lakini kwa kiasi,ukiona unampenda mtu lakini hakurudishii ule upendo unao kustahili,.unamuacha kiutu uzima hivyo hivyo,.utaumia leo,kesho kukikucha maisha yanaendelea na unatafuta furaha nyingine..

Pole sana,.na mwisho;muda ndio muamuzi sahihi,.nikuambie tuu "HILO NALO LITAPITA"
Haswaaa muda ndo kilaa kitu hakuna kinachodumu milele
 
Mapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
Dawa ya tatizo lako tafuta hela utashangaa watakavyokuganda.
 
unaijua njaa we..?
ukihisi njaa hiyo hamu ya kutokula hutoikumbuka.
 
Hivi kumbe ndio wewe alie kuacha, basi na mimi nampiga chini kama wewe alivyokufanya
 
Mapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
Kakuacha na kosa hulijua?!!! Ulikua unampa hela (unamgharamikia)? Kama jibu hapana basi jua amepata wa kumpa hela.
 
Nimedumu nae kwa miezi 3 sasa alikua ni mpenzi wangu na mimi sikua na haraka ya kukutana naye kimwili kwa kuwa nampenda sana na nina malengo naye.
Hilo ndilo kosa lako mkuu!Ulishindwa nini kutafuna?Angeondoka anakumbukumbu ya kitu lakini sasa hatakukumbuka tena!
 
Hakkka ila kiukweli moyo wangu unaniuma sana tena sana tu kwani nimetokea kumkubali sana huyu binti. Ahsante pia
Sikia mkuu,huyo uliyemkubali hakufai na huenda amegongwa na muhuni mmoja akaona wewe huna maana.
Ni bora imekuwa mapema kuliko kuoa halafu agongwe na wahuni!Hapo ungetafuta sumu ya panya ama ungekuwa jela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom