Ahsante mkuu nitajitaidi.kufanya ivyoHuwa nasisitiza kuumizwa n mara moja tu usikubali kuumia tena mkuu apo n utangulizi tu picha ndio linakwenda kuanza, kwenye mapenz hakunaga 50/50 tumia akili kuliko moyo afu unakuaje na mtu umtumii ??? Hayo maumiv sio ya kawaida na kama ujapiga usimtafte kabisa atatumia fursa hyo kukutesa na kukuumiza ,MUACHE AENDE MOVE ON
Pole sana kuna maisha baada ya mapenzi . jifunze kumuacha aende wapo wengi wenye upendo nawe wanataman nafac kwko ila imezingwa na Huyo uliekuwa nae sasa wape nafac wengine uendelee na maisha vzuriMapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
Ahsante mkuu nitajitaidi.kufanya ivyo

Ahsante mkuu nitajitaidi.kufanya ivyo
Hiv unafikir kupenda ni hiari. Huwa inakuja automtic unaanguka tu kwa bibieDaah asee hii ni hatar
ila swala la kwmba hii tabia y kupendapenda cyo nzuri c kila sku tunaambiwa mbna hatukomi?
Wanamusic kila sku wanatoa nyimbo mara mapenzi bac, mara sikupendi, mara nenda zako, mara mapenzi kichaka
Kwny movies, hadithi, stories kila sku zinatuambia
sasa cjui kwann hatuelew sisi viumbe![]()
Bebe nimependa huo mstari wa pili mmKuitwa mtu mzima na uliyekomaa sio kitu rahisi...ni kwamba umepitia baadhi ya changamoto na kuweza kuzikabili,."Upendo hushinda kifo"...
Pole sana sana,.sisi watu wazima tulisha yaonja hayo kiasi yametukomaza,.kupenda hatuachi kupendana lakini kwa kiasi,ukiona unampenda mtu lakini hakurudishii ule upendo unao kustahili,.unamuacha kiutu uzima hivyo hivyo,.utaumia leo,kesho kukikucha maisha yanaendelea na unatafuta furaha nyingine..
Pole sana,.na mwisho;muda ndio muamuzi sahihi,.nikuambie tuu "HILO NALO LITAPITA"
Tangu yanipate miaka 4 iliyopita sijawahi kupenda kwa dhati, nimebaki kupendwa ila me ndo kwanza napitia nikimchoka naacha..... Kupenda ni ujinga wa Standard gauge
nilipata ulcers kwenye mapenzi nikaona nikipenda tena ntapata ugonjwa wa moyo wacha nivunje mifupa meno yangali yapo...... Siwazi kupenda zaid ya kutamaniAcha uoga hehehehehee
Hiv unafikir kupenda ni hiari. Huwa inakuja automtic unaanguka tu kwa bibie
inatokea tu yani hujisomi somi kumbe moyo ushafanya yake.