Moyo wangu

Moyo wangu

RASCO BOY

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
428
Reaction score
485
Mapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
 
Mapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
Karibu kwenye utu uzima sasa. Pole.. wenzio wote tulipitia huko mpaka tumezoea.
Cha msingi kwa sasa kubali kuwa ndio imeisha hiyo, na sio wako.

Futa kila kumbukumbu uliyonayo kwake.. ikiwezekana safiri nenda mbali hata kijijini. Katulie kidogo.. itakupa shida mwanzoni laki itakusaidia kupona.
 
Mapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
Daah asee hii ni hatar

ila swala la kwmba hii tabia y kupendapenda cyo nzuri c kila sku tunaambiwa mbna hatukomi?

Wanamusic kila sku wanatoa nyimbo mara mapenzi bac, mara sikupendi, mara nenda zako, mara mapenzi kichaka

Kwny movies, hadithi, stories kila sku zinatuambia

sasa cjui kwann hatuelew sisi viumbe
 
Umedumu naye kwa muda gani,na alikuwa mpenzi,mchumba au mke
 
Tangu yanipate miaka 4 iliyopita sijawahi kupenda kwa dhati, nimebaki kupendwa ila me ndo kwanza napitia nikimchoka naacha..... Kupenda ni ujinga wa Standard gauge
 
Mapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
kweli umeumia mpaka unashindwa kuandika vizuri, pole
 
Mapenzi yanauma sana Usiombe yakukute Moyo unaniuma sana sikutegemea kama nitamwagwa mzima mzima bila kujua kosa langu ni nini.......Nilimpenda sana huyu bint japo baso sikuwai kulala naye lskini nilimpenda nikejikuta kama mpumbavu kwako hakika nimeamini kua uyaone si kingine ni mapenzi yana nguvu kuliko chocjote moyo wangu umebadilika ghafla mwili wangu wote umeishiwa hata hamu ya kula sina hakika mungu nisaidie nisije nikapenda tena....
Nikupe pole ila pambana na hali yako
 
Nimedumu nae kwa miezi 3 sasa alikua ni mpenzi wangu na mimi sikua na haraka ya kukutana naye kimwili kwa kuwa nampenda sana na nina malengo naye.
Hali ya kawaida,kuna vitu amevikosa kwako inategemea na yeye alikuwa mtu wa daraja gani.Imarisha uchumi wako kwanza utapata unaowataka.
 
Kuitwa mtu mzima na uliyekomaa sio kitu rahisi...ni kwamba umepitia baadhi ya changamoto na kuweza kuzikabili,."Upendo hushinda kifo"...

Pole sana sana,.sisi watu wazima tulisha yaonja hayo kiasi yametukomaza,.kupenda hatuachi kupendana lakini kwa kiasi,ukiona unampenda mtu lakini hakurudishii ule upendo unao kustahili,.unamuacha kiutu uzima hivyo hivyo,.utaumia leo,kesho kukikucha maisha yanaendelea na unatafuta furaha nyingine..

Pole sana,.na mwisho;muda ndio muamuzi sahihi,.nikuambie tuu "HILO NALO LITAPITA"
 
Kuitwa mtu mzima na uliyekomaa sio kitu rahisi...ni kwamba umepitia baadhi ya changamoto na kuweza kuzikabili,."Upendo hushinda kifo"...

Pole sana sana,.sisi watu wazima tulisha yaonja hayo kiasi yametukomaza,.kupenda hatuachi kupendana lakini kwa kiasi,ukiona unampenda mtu lakini hakurudishii ule upendo unao kustahili,.unamuacha kiutu uzima hivyo hivyo,.utaumia leo,kesho kukikucha maisha yanaendelea na unatafuta furaha nyingine..

Pole sana,.na mwisho;muda ndio muamuzi sahihi,.nikuambie tuu "HILO NALO LITAPITA"
Hakkka ila kiukweli moyo wangu unaniuma sana tena sana tu kwani nimetokea kumkubali sana huyu binti. Ahsante pia
 
Karibu kwenye utu uzima sasa. Pole.. wenzio wote tulipitia huko mpaka tumezoea.
Cha msingi kwa sasa kubali kuwa ndio imeisha hiyo, na sio wako.

Futa kila kumbukumbu uliyonayo kwake.. ikiwezekana safiri nenda mbali hata kijijini. Katulie kidogo.. itakupa shida mwanzoni laki itakusaidia kupona.
Ahsante mkuu sijui kwa nini yanatukuta lakini hatukomi
 
Daah asee hii ni hatar

ila swala la kwmba hii tabia y kupendapenda cyo nzuri c kila sku tunaambiwa mbna hatukomi?

Wanamusic kila sku wanatoa nyimbo mara mapenzi bac, mara sikupendi, mara nenda zako, mara mapenzi kichaka

Kwny movies, hadithi, stories kila sku zinatuambia

sasa cjui kwann hatuelew sisi viumbe
Acha tu mapenzi yaitwe mapenzi
 
Tangu yanipate miaka 4 iliyopita sijawahi kupenda kwa dhati, nimebaki kupendwa ila me ndo kwanza napitia nikimchoka naacha..... Kupenda ni ujinga wa Standard gauge
Duuh ila ipo siku utanasa tena
 
Mi saiz nishaapa kutowaamini hawa viumbe wavaa nguo nying, nikiwa naye leo akitaka kesho tuachane wala huwa siwabishii namwambia tu safari niema mamy, ila ukijisikia kunimiss karibu tena, na mm nikijisikia kukumiss usinitupe mama. Wengi huwa naendelea kuwasiliana nao vizuri tu. Huwa nawachenchia wakianza kutaka hela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom