Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,540
- 69,502
Mzee sasa marafiki hawakopeshani?Acha upumbafu wewe. Mlishaambiwa kukopeshana mwisho 15,000 TZS. Zaidi ya hapo mtu akakope bank. Umeyatimba kweli kweli. Futa huo ujinga kabisa, yaani uue watu kisa milioni 4 . Ngumbaru mkubwa wewe.
Uyo ajakutana na wauni, kuna jamAA aliwah nitapel simu rafiki yangu kipindi iko tach ndo zinaingia mi niikuwa na nokia fulani kali inabattn na touch mtaa mzima nd nilikuwa nayo yule jamaa akaniazima apige akala kona, nikawafuata wauni wangu nikawapa malalamiko oya tulikua tag kama mtu kumi tunamtafuta yule jamaa pita maskani zake zote tukaacha ujumbe mbona ilirudi ile simu chap uDuuuh , hatari ila tuache masihara , kutapeliwa kunaumaa aisee
Msije kutulilia humuMzee sasa marafiki hawakopeshani?
Hapa anaomba ushauri kwa watu tofauti ela unayoina wewe kubwa wenzako wanaona ni chenji tu ml4 ya kufanya aue mtu tafuteni pesa banaIi8 we ni wale Kula kulala bure hujui hata pesa inavyotafutwa.
Unachukulia pesa za mtu 4M kirahisi?
Ha ha ha ha ni hatari na hawataniiHuwa hawana show mbovu.
Samehe na umuachilie moyoni mwako kwa manufaa yako binafsi hasa kiafya.Habar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Na hapo ni M4kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Msamaha ni tiba nzuri sana kwa aliyekosewa, ukisamehe utapata amani nzuri mno moyoni na utaruhusu 'karma' ikulipie kisasi.We kuweza?
Hivi ile Ijumaa uliipima na kuiona ile hasira niliyokuwa nayo? 😂😂 hawa marafiki uchwara walambwe uso na shetani. Carleen
Mkuu!! Usiombe uliyemuaminiMsamaha ni tiba nzuri sana kwa aliyekosewa, ukisamehe utapata amani nzuri mno moyoni na utaruhusu 'karma' ikulipie kisasi.
😂😂 ngoja kwanza nimalizie kulia😅😅😅
Hiyo part ya kulambwa uso na shetani imenifurahisha walaqhi'...!!
Ngende huko ni noma sema Sasa matapeli watamuwahi. Yaani ykishuka tu Liwale watu wakiona sura ngeni akili Yao inaeatuma kuwa unaenda ngende Kwa bibi[emoji23]Kama mapenzi ni uchawi umeniendea ngende eeeh nenda ngende huko lindi japo matepeli wapo au kwa wakurya kuna mdau hapo juu kashauri.
Ujaluoni sehemu gani chief, nipe location mengine nitamaliza mwenyeweBora na wewe umethibitisha maneno yangu. Shida ni pale mhitaji akiwa na roho nyepesi matokeo yakianza kuonekana, maan kuna dawa zao nyingine ni hatari hadi taifa linaweza kupigwa butwaa. Ipo ile mlengwa akishaanza kutangulia ahera sasa kila ndugu atakae kuja msibani hapo anamlilia marehemu lazima na yeye afie hapo hapo muda huo huo. Kwa hiyo ndugu wasiposhutuka mapema ndugu watapukutika siku hiyo km kuku wa kideli. Sasa huyu akiambiwa matokeo km hayo ataweza kuvumilia au ataweza kuwaonea huruma.
Tusiwachukulie watu poa. Kuna mikoa ni silent kila Ila haifahamiki.
Polisi wataishia kumlia pesa hiyo ni kesi ya mahakamaniHumu humu kuna matapeli na utalizwa tena ulete uzi mwingine wa kutapeliwa na mganga
Wewe dili nao tu hata kisheria kama hutaki polisi basi pambana nao
Hata usihangaike kupoteza hela kwenda kwa waganga tena mkuu, kuna kitu inaitwa KARMA it's matter of time anarudi kwako analia kwa kusaga meno hakika hakuna rangi hataacha kuonaHabar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Upo sahihi kabisa, nakubali hilo.Mkuu!! Usiombe uliyemuamini
Ukampa kitu flani
Afu akaja enda tofauti na makubaliano
Inakata balaaa
Inaoneka washa kugonga sana [emoji23][emoji23][emoji23]Sahihi kabisa. Huyu mwenzetu ndo maan nimemuelekeza huko.
Ila hao Wajaluo huwa wananiudhi tu kutokukata sweta (kutahiri). Wanaume 90% hawajatahili ha ha ha ha ha Ila ni watu wa kazi kweli kweli.