Moyo unauma sana

Moyo unauma sana

Sasa wewe ukisema moyo unakuuma mkuu, na yule baba ambae kimsingi ndio mwenye mke na amebambikiwa mtoto asemeje?

Hata hivyo, mkuu una uhakika gani kama mtoto ni wako? Acha kujiumiza moyo hadi uproove! Usichukulie maanani sana stori za wanawake kuwa mume wangu hapigi mashine mara mume wangu hana uzazi ndio maana kanifukuza, huwa ni stori tu hizi hapo kitandani mlipokutana!

Kama mume hana uzazi kapataje courage ya kumbambikia mtoto?

Subiri uhakikishe ndio ufungulie roho yako kuuma, ushauri tu. Usidhani wewe ndio kidume sana kuzalisha kuliko mumewe. By the way chochote utakachofanya jamaa ataweza kukushtaki kwa kosa la ugoni. Be careful.
 
Kwenye huu uzi kila mwanaume anataka damu yake. Wakati mtaani kuna ma single mother kibao ambao wametelekezwa na hawa hawa wanaume. Leo mnajidai hamuwezi kuacha damu yako ipotee. Huku watoto zenu tuna walelea.
 
Wadau habari za saa hizi. Acha niende moja kwa moja kwenye mada
Mwezi wa 12/2018 nilisafiri kwenda Dar nikamaliza wiki 2 nikiwa huko .nilivyo Rudi tu huku kwetu nikakuta kwa jirani yetu kuna binti mrembo Sana ambaye alikuwa Ni mgeni pale, Kama tulivyo mabaharia ikabidi nijisogeze kwa binti kumuambia mawili matatu .
Nilimpa maneno binti akalainika Mambo yakaenda sawa .
Ilinichukua siku 3 nikaomba papuchi nikapewa nikala mzigo .
Baada ya kumaliza kula mzigo ikabidi nianze kumuhuiliza kuhusu background ya maisha yake. Binti alikuwa wazi kuniambia Mambo mengi Sana ya maisha moja ikiwa alizaliwa akiwa peke yake kwenye familia yake baba na Mama yake walifariki kwenye ajali ya gari, alibahatika kuolewa na Sasa Yuko kwenye ndoa miaka 7 ila hajawai kushika ujauzito hivo imesababisha vurugu nyingi saana mpaka imefikia Mme wake amemfukuza ,hivi ameomba hifadhi hapo kwa jirani yangu ila Ana mpango wa kwenda kwa shangazi yake morogoro nimsaidie .Basi nilimuonea huruma Sana . Basi Basi nilimuonea huruma na ikanibidi nimuakikishie kuwa nitamchukua awe mke wangu wa pili na nilimuambia kuwa atatibiwa mpaka atapona .niliendelea kula papuchi Kama kawaida nilikula papuchi tarehe 24, 26,28 na 30 nilikuwa napanga nipige mkesha kwenye sherehe za mwaka mpya mme wake alikuja na ndugu zake wakamchukua na kumrudisha nyumbani niliona Kama masiara aliponiambia kwani nilikua nimeanza kumpenda huyo binti Sana.
Basi maisha yakawa yanaendelea ilipita Kama siku 4 akanitumia messeji kuwa anaumwa na akaniomba nimtumie pesa anunue dawa .nilienda kwa waka nikamtumia 20,000 .ilipofika mwishoni kwenye mwezi wa 1 akaniambi kuwa amepitisha tarehe ya hedhi hivo anahisi kuwa na ujauzito .nilimualika nyumbani ili kuweza kupima nilinunua vipimo viwili ,alipofika tu nilianza shuguli ya kupima na majibu yakawa POSITIVE .Nikajaribu kumshawishi atoke kwa jamaa ili niweze kumchukua akaniambia kuwa atajifikiria ili anipe majibu sahii.
Alipofika nyumbani kwake akanitumia meseji kuwa hayuko tayari kuvunja ndoa yake ila tutakuwa tunawasiliana na maendeleo ya mimba na mtoto akizaliwa atakuwa ananijulisha. Sasa juzi tarehe 02/10/2016 na saa sita mchana akanitumia picha ya mtoto akiambatanisha na ujumbe kuwa amejifungua salama mtoto wakiume. Sasa nikamuhuliza mtoto amepewa mjina gani ,akanijibu kuwa baba yake amempa jina la Prince mateso.nikamuhuliza baba yake Nani ? Aka kaa kimya baadaye akanijibu kuwa japokuwa ile ni damu yangu lakini natakiwa kujifanya kuwa Kama simfahamu yule mtoto.

Sasa wadau nahisi kuchanganyikiwa ukizingatia kuwa huyo ndiye mtoto wangu wa Kwanza kabisa. Leo ndiyo ameruhusiwa kutoka hospital nimemuona akiwa na Mme wake akiwa amembeba mtoto wangu Nilisikia vibaya kupoteza Damu yangu. NAITAJI USHAURI maana nataka kusambaratisha ile NDOA.
ACHA UFALA ETI MOYO UNAUMA..MTOTO NI WAKO NA USIMUACHE ANNGALIA TIMIMG TU ILA NI WAKO NI DAMU YAKO...MUMUWAKE HAZALISHI KWAKE KAMA STORY YAKE NI KWELI....NARUDDIA DAMU NI YAKO..HERUFI KUBWA ZA SAUTI KUBWA MTOTO NI DAMU YAKO
 
Hivi kwa mfano ukivamia shamba la mtu ukalima,mazao yakishakua yanakuwa ni mali ya nani...mwenye shamba or mvamizi???
 
ACHA UFALA ETI MOYO UNAUMA..MTOTO NI WAKO NA USIMUACHE ANNGALIA TIMIMG TU ILA NI WAKO NI DAMU YAKO...MUMUWAKE HAZALISHI KWAKE KAMA STORY YAKE NI KWELI....NARUDDIA DAMU NI YAKO..HERUFI KUBWA ZA SAUTI KUBWA MTOTO NI DAMU YAKO
Hivi kwa mfano ukivamia shamba la mtu ukalima,mazao yakishakua yanakuwa ni mali ya nani...mwenye shamba or mvamizi???
 
Unataka kusambaratisha ndoa ya watu?! kwa nini ukaparamie mke wa watu?!
 
Naona umechomoa betri
Kwenye huu uzi kila mwanaume anataka damu yake. Wakati mtaani kuna ma single mother kibao ambao wametelekezwa na hawa hawa wanaume. Leo mnajidai hamuwezi kuacha damu yako ipotee. Huku watoto zenu tuna walelea.
 
Hivi kwa mfano ukivamia shamba la mtu ukalima,mazao yakishakua yanakuwa ni mali ya nani...mwenye shamba or mvamizi???
swali lako la mtego sana...shamba umevamia sio halali….ila kwa huku sio halakli na mbegu inabaki yaki ndio imeleta mtoto jamaa ana haki ya kumuacha mke au la ila damu yako hiyo
 
Usichomoe betri saiz mwache mtoto akue kwanza
 
Hii stori yako unaiandika ukiwa Nyarugusu Refugee Camp au ukiwa Kigoma Mjini?
 
Hii inazidi kutukumbusha vijana wasioe single mothers ..maana muda wowote bond ya zamani inarudi (mume na mke hawaachani wanatengana tu)

Mkuu wala haitaji nguvu nyingi ,itafika muda tuu mtoto ataletwa kwako kwa mikono miwili wala haitaji haraka sana , We tulia acha mtoto akue kwanza
 
Kama ni Mimi lazima nikuanzishie VARANGATI.

Haiwezekani, lazime twende DNA kwanza ili nijue wa kwangu au CHANGA.

Na kama ni wa kwangu, nakomaa na wewe Mwanzo mwisho.

Haiwezekani MTOTO wangu apewe BABA mwingine.

Hau kamu?
 
Wadau habari za saa hizi. Acha niende moja kwa moja kwenye mada
Mwezi wa 12/2018 nilisafiri kwenda Dar nikamaliza wiki 2 nikiwa huko .nilivyo Rudi tu huku kwetu nikakuta kwa jirani yetu kuna binti mrembo Sana ambaye alikuwa Ni mgeni pale, Kama tulivyo mabaharia ikabidi nijisogeze kwa binti kumuambia mawili matatu .
Nilimpa maneno binti akalainika Mambo yakaenda sawa .
Ilinichukua siku 3 nikaomba papuchi nikapewa nikala mzigo .
Baada ya kumaliza kula mzigo ikabidi nianze kumuhuiliza kuhusu background ya maisha yake. Binti alikuwa wazi kuniambia Mambo mengi Sana ya maisha moja ikiwa alizaliwa akiwa peke yake kwenye familia yake baba na Mama yake walifariki kwenye ajali ya gari, alibahatika kuolewa na Sasa Yuko kwenye ndoa miaka 7 ila hajawai kushika ujauzito hivo imesababisha vurugu nyingi saana mpaka imefikia Mme wake amemfukuza ,hivi ameomba hifadhi hapo kwa jirani yangu ila Ana mpango wa kwenda kwa shangazi yake morogoro nimsaidie .Basi nilimuonea huruma Sana . Basi Basi nilimuonea huruma na ikanibidi nimuakikishie kuwa nitamchukua awe mke wangu wa pili na nilimuambia kuwa atatibiwa mpaka atapona .niliendelea kula papuchi Kama kawaida nilikula papuchi tarehe 24, 26,28 na 30 nilikuwa napanga nipige mkesha kwenye sherehe za mwaka mpya mme wake alikuja na ndugu zake wakamchukua na kumrudisha nyumbani niliona Kama masiara aliponiambia kwani nilikua nimeanza kumpenda huyo binti Sana.
Basi maisha yakawa yanaendelea ilipita Kama siku 4 akanitumia messeji kuwa anaumwa na akaniomba nimtumie pesa anunue dawa .nilienda kwa waka nikamtumia 20,000 .ilipofika mwishoni kwenye mwezi wa 1 akaniambi kuwa amepitisha tarehe ya hedhi hivo anahisi kuwa na ujauzito .nilimualika nyumbani ili kuweza kupima nilinunua vipimo viwili ,alipofika tu nilianza shuguli ya kupima na majibu yakawa POSITIVE .Nikajaribu kumshawishi atoke kwa jamaa ili niweze kumchukua akaniambia kuwa atajifikiria ili anipe majibu sahii.
Alipofika nyumbani kwake akanitumia meseji kuwa hayuko tayari kuvunja ndoa yake ila tutakuwa tunawasiliana na maendeleo ya mimba na mtoto akizaliwa atakuwa ananijulisha. Sasa juzi tarehe 02/10/2016 na saa sita mchana akanitumia picha ya mtoto akiambatanisha na ujumbe kuwa amejifungua salama mtoto wakiume. Sasa nikamuhuliza mtoto amepewa mjina gani ,akanijibu kuwa baba yake amempa jina la Prince mateso.nikamuhuliza baba yake Nani ? Aka kaa kimya baadaye akanijibu kuwa japokuwa ile ni damu yangu lakini natakiwa kujifanya kuwa Kama simfahamu yule mtoto.

Sasa wadau nahisi kuchanganyikiwa ukizingatia kuwa huyo ndiye mtoto wangu wa Kwanza kabisa. Leo ndiyo ameruhusiwa kutoka hospital nimemuona akiwa na Mme wake akiwa amembeba mtoto wangu Nilisikia vibaya kupoteza Damu yangu. NAITAJI USHAURI maana nataka kusambaratisha ile NDOA.


DAH Mabaharia kuna mahali huwa tunafika na kukwama..na kuishia kuwehuka kabisa.

Achana na wake za watu
 
Wanaume mna tabu sana asee!
Imagine mume proudly kabisa anaenda kulea mtoto akijua ni wa kwake

Kimsingi ningekuwa ni mimi kama mbwai iwe mbwai,nisingeweza kuangalia mtoto wangu anaenda kulelewa na mwingine wakati mimi nipo...huyo mke angekuwa hataki kuhatarisha ndoa yake asingejihusisha na mwanaume mwingine wakati anajua ana mume

Poleni sana wanaume mnaolea watoto wasio wenu bila kujua

Joanah wangu tuache tu, hatuwezi lia machozi yakaonekana lakini mioyoni tunalia sana.

Wengi sana tunalea watoto wasiokuwa damu zetu
 
Pole moyo umenihuma kwelii (braza unatatizogani na H Kila neno lazima uitupie Kama umezitolea mahari)
 
Back
Top Bottom