kidonse
Member
- Jun 15, 2016
- 36
- 40
Nilimpenda sana nilimtunza kama almasi. Aliponikosea sikutaka kuuliza ila kukaa kimya sikupenda kumuudhi. Alipohitaji msaada nilikua karibu nae wala sikujali usaliti wake na siku zote niliamini ipo siku atabadilika na ndoto zangu za kuwa mume wake siku moja zitatimia.
Bahati mbaya nafanya kazi sehemu moja ni mwaka sasa tangu tumeachana aliondoka huku akinitolea matusi na kashfa akiniita mimi mwanaume suruali, sina chochote cha kujivunia. Hayo yote yalitokea baada ya yeye kupata mwanaume mwingine ndo akawa ananitolea maneno yote hayo ya kashfa.
Nashukuru Mungu nilipata ujasiri wa kukaa kimya wala sikumjibu zaidi ya kumwambia kila la heri huko uendako na Mungu akusaidie. Baada ya hapo sikujua tena nini kiliendelea katika maisha yake zaidi ya kuonana nae kazini.
Na tulipokutana nae nikimsalimia akawa haitikii nami nikaona isiwe tabu nikaamua kuuchuna Kaniblock social network zote. Bahati mbaya kila siku anazidi kubadilika anazidi kuzeeka na kupoteza nuru. Maisha yamekua magumu kwake.
Namuonea huruma sana kule alipotegemea rafiki yake alinifata akanambia kuwa ameshaachika nimsamehe nirudiane nae Sina mpenzi kwa sasa nimekua na chuki sana na mapenzi Sijui nina tatizo gani. Sifikirii kabisa kuwa na mahusiano kwa sasa.
Bahati mbaya nafanya kazi sehemu moja ni mwaka sasa tangu tumeachana aliondoka huku akinitolea matusi na kashfa akiniita mimi mwanaume suruali, sina chochote cha kujivunia. Hayo yote yalitokea baada ya yeye kupata mwanaume mwingine ndo akawa ananitolea maneno yote hayo ya kashfa.
Nashukuru Mungu nilipata ujasiri wa kukaa kimya wala sikumjibu zaidi ya kumwambia kila la heri huko uendako na Mungu akusaidie. Baada ya hapo sikujua tena nini kiliendelea katika maisha yake zaidi ya kuonana nae kazini.
Na tulipokutana nae nikimsalimia akawa haitikii nami nikaona isiwe tabu nikaamua kuuchuna Kaniblock social network zote. Bahati mbaya kila siku anazidi kubadilika anazidi kuzeeka na kupoteza nuru. Maisha yamekua magumu kwake.
Namuonea huruma sana kule alipotegemea rafiki yake alinifata akanambia kuwa ameshaachika nimsamehe nirudiane nae Sina mpenzi kwa sasa nimekua na chuki sana na mapenzi Sijui nina tatizo gani. Sifikirii kabisa kuwa na mahusiano kwa sasa.